Iran huwa mchokozi and akipigwa anasema anaonewa.. utawala wa ayatollah unatakiwa uondoshwe wote ili iran iwe huru. Raia wakilia wanazibwa midomo.. utawala wa ayatollah umepata maraisi wafuasi wengi Africa akiwemo jiwe kupoteza watu na kuwaonea
By the way nimeshangaa kusikia anatumia Twitter mtandao wa kikafir! Bila aibu kabisa anaita Twitter, ana-login na kuitumia; mnafiki ni hatari kuliko mchawi!