Mtandao wa Twitter umetangaza kuwa kwa sasa wanafanyia kazi suala la kuongeza kitufe/button ya kuhariri tweets baada ya kutweet
Mabadiliko hayo yamechangiwa na kura ya mtandaoni iliyoitishwa na tajiri mamba moja duniani wa paper assets Elon Musk ambaye pia ndiye mmiliki mkubwa wa hisa za kampuni ya Twitter
Mabadiliko hayo yamechangiwa na kura ya mtandaoni iliyoitishwa na tajiri mamba moja duniani wa paper assets Elon Musk ambaye pia ndiye mmiliki mkubwa wa hisa za kampuni ya Twitter