Two boyfriend wish one girlfriend happy birthday on live show (Radio)

AirTanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2011
Posts
1,139
Reaction score
1,036
Wakuu habari za masiku, Juzi nilipokuwa nasinzia sinzia , hafla nikasikia njemba 2 zikimtumia email Dj wa show kwenye station ya radio kumuomba ampigie g/f kum-wish happy birthday. Kumbe na mwengine pia akawaametuma email kwa dj na kumuomba the same request kwa same woman sikilizeni hapo
 

Attachments

:lol: Duuh kama ingekuwa mimi sijui ingewaje, ningekata simu. noma unasikia live
 
Loh jamaa kaharibu birthday ya binti moja kwa moja, binti kabaki anahangaika tu - surprise birthday present! Sijui kama hatakula kipigo hasa kwa yule jamaa wa pili alikuwa anasikika kama amechukia kweli.

Binti anajitetea eti 'my mother is listening to this' lakini mtangazaji anamwambia 'I dont give a damn - you should not be dating two guys at the same time'.

Halafu kabinti kenyewe kana miaka 21 tu si ndiyo maambukizi yenyewe hayo. Tena kule kule southern africa kutokana na hilo jina (Ndombi - siyo spelling yake sahihi)
 
Mapenzi ya kwenye radio uhuni tuu. . .
 

kule kwetu south africa " ndombi" maana yake ni - do-. kwa hiyo huyo binti amepewa jina zuri sana kwani linaonekana maana yake kwenye hiyo tukio
 
ndombi au ntombi?????
tabia zake kama jina lake lohhh. washamjua tabia zake walale mbele fasta..

Huyo demu ana miaka 21 na ameanza na tabia chafu, sasa akifika 25 siatakuwa gwiji la mahaba :lol:
 
ndio mapenzi ya dot.com generation hayo,mnaweza kupangwa hata kumi; afterall hakuna shombo wala nini, kila mtu anajisevia kwa wakati wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…