Two Kenyan men wed in London

Hivi ni kweli mwanaume ndevu? :caked: Yaani, "ameolewa" na ndevu zake!!
 
..aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaarrrrrghhhhhhhhhhh
 
Haya yapo hapa bongo ila wanaofanya wengi wao wamechoka saaaana
 
maajabu ya dunia... na "kila uonapo haya, kaza macho maana ule mwisho umekaribia". Mungu uturehemu na uovu huu usio kifani!!!!!!!!!.
 
CHIEF JUSTICE OF KENYAN REPUBLIC ameapishwa......! tuzitegemee nyingi zaidi
 
Eeeeee Mungu tulinde kizazi hiki cha Adam, tulindie watoto wetu pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…