beatriceee
Member
- Mar 14, 2017
- 28
- 15
Zingatia hili.Typhoid ipo inayosababishwa na bacteria na inayosababishwa na vitus. Bacterial typhoid instincts na course ya antibiotics. Ni muhimu upate vipimo na ushauri wa daktari.
Hao virus wanaosababisha typhoid wanaitwaje mkuu, naomba unijuzeTyphoid ipo inayosababishwa na bacteria na inayosababishwa na virus. Bacterial typhoid inatibika kwa course ya antibiotics. Ni muhimu upate vipimo na ushauri wa daktari.
Mkuu anayesababisha typhoid sio virus ni bacteria anafahamika kwa jina la salmonella paratyphiHao virus wanaosababisha typhoid wanaitwaje mkuu, naomba unijuze
Mkuu anayesababisha typhoid sio virus ni bacteria anafahamika kwa jina la salmonella paratyphiHao virus wanaosababisha typhoid wanaitwaje mkuu, naomba unijuze
Naombeni msaada wa tiba ya tyfod iishe kabisa imenisumbua sana .
Vipimo vinashida gani mkuuTatizo la huu ugonjwa ni vipimo..
Nilichogundua wewe unajua kila kitu halafu unakejeli watu NOT TO THAT EXTENT nimeangalia avatar yakoVipimo vinashida gani mkuu
Tafuta dawa bora zaidi-na hakikisha unamaliza dozi, usiachie njianiNaombeni msaada wa tiba ya tyfod iishe kabisa imenisumbua sana .
Salmonella typhiHao virus wanaosababisha typhoid wanaitwaje mkuu, naomba unijuze
[emoji116] [emoji116] [emoji818] [emoji818]Mkuu anayesababisha typhoid sio virus ni bacteria anafahamika kwa jina la salmonella paratyphi
Salmonella typhi
Hakuna typhoid inayosababishwa na virusTyphoid ipo inayosababishwa na bacteria na inayosababishwa na virus. Bacterial typhoid inatibika kwa course ya antibiotics. Ni muhimu upate vipimo na ushauri wa daktari.
Salmonella gallinalisMkuu anayesababisha typhoid sio virus ni bacteria anafahamika kwa jina la salmonella paratyphi
U kill it... typhoid ya virus ndo ipi mama. Naomba uni fundishe ni ijue kidogo.Typhoid ipo inayosababishwa na bacteria na inayosababishwa na virus. Bacterial typhoid inatibika kwa course ya antibiotics. Ni muhimu upate vipimo na ushauri wa daktari.
Typhoid a.k.a enteric fever. Ina tibika vizur tatizo ni ww. Kinga ni nzuri kuliko tiba. Tuanze na tiba typhoid ni ugonjwa unao sababishwa na gram negative bacteria ivyo basi una tibiwa na antbiotic. Rx inj. Ya powerceff kama start then una mweza cipro mg 500b/d 10/ 7 au azythromycin 500mg Od 9/7.Naombeni msaada wa tiba ya tyfod iishe kabisa imenisumbua sana .
Nilichanganya na pneumonia mkuu kuna bacterial pneumonia na fungal pneumonia samahaniU kill it... typhoid ya virus ndo ipi mama. Naomba uni fundishe ni ijue kidogo.