Aisee in that case mmeshaiweka surprise kwenye wakati mgumu, inaweza isiwe surprise tena.
Sasa unachoweza kufanya ni hivi:
mwambie rafiki yako au mtu mwingine yeyote aandae kashughuli kama birthday party etc. Then kwenye hiyo party katikati watoe nafasi kwa watu kutoa salam za birthday.wacha mtu wa kwanza atoe salam, then wa pili wewe kuwa kama mtu wa tatu hivi kuomba microphone. ukipewa microphone toa salam za birthday kama kawaida then mwishoni chomekea ishu ya kumvalisha pete mchumba wako. Wakati unapewa mike usiwe karibu naye sana, kuwa na umbali kama wa mita tano hivi toka aliko kakaa au kusimama yeye. Then wakati unatoa salam za birthday wangalie watu wote na usiwe nurvous. ukifikia hatua ya kumuomba umvishe pete inabidi umuangalie machoni na usubiri response yake.
Mtu anayeandaa hiyo party ni vizuri awe mtu ambaye mchumba wako hamfahamu, ili asiweze kuhisi kuwa ni mchongo. Nyinyi muende kama mmealikwa tu.Na ni vizuri umwambie just a day or a few hours before the party kuwa kuna ishu ya party, inabidi u act kama huna ties zozote na hiyo party.
Kazi kwako sasa jibaba,
By the way... isije ikawa mchumba wako naye ni member wa JF, itakuwa zinga la movie la kihindi!!!!