Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona una panic ?? 😀😀 Anakuja kutengeneza pia kipindi chake.😀😀 Dunia nzima itatambua vivutio vya TanzaniaSo what?
source ?Mbona una panic ?? 😀😀 Anakuja kutengeneza pia kipindi chake. 😀😀 Dunia nzima itatambua vivutio vya Tanzania
Nothing mo nothing less! Waliishakuja wakuja na wakaendelea kuja na kuja cha ajabu walikuja na kutukuta tukiwa masikini na wakatuacha tukiwa mafukara!! To hell with your big 5! Nyambaff
Huyo ndo naniii ??????I've lost the number of times Naomi Campbell has been to Kenya.
Anakuja kuacha pesa. Mimi kama mmoja ya watu nae wekeza kwenye utalii ni fursa kwangu tena kubwa. Huyo kijana Benja pia anaingiza pesa. Kila anapoleta watalii kutoka marekani kuna pesa anaingiza. Kuna wanafunzi aliwaleta hapa TZ wakaacha wamegawa solar kwenye visiwa vya Zanzibar. Hayo pia ni maendeleo.Nothing mo nothing less! Waliishakuja wakuja na wakaendelea kuja na kuja cha ajabu walikuja na kutukuta tukiwa masikini na wakatuacha tukiwa mafukara!! To hell with your big 5! Nyambaff
Huyo ndo nani ??Jafelina Ombokolo Shilandura anakuja Kenya
Nachoweza kuwambia vijana wa Tanzania anzeni kuwekeza kwenye utalii. Mimi nimeanza. Ni industry yenye pesa nzuri sana. Fanyeni kwakushilikiana.Check out @zittokabwe’s Tweet:Inaonekana kuna upepo mzuri kwa upande wa utalii hapa tz. Taasis husika zitumie fursa hii kuitangaza hii nchi zaidi