Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Upo wapi?Ukipataaa niulizie na mimi 245/45/R18 mbili napata kwa bei gani
Nahitaji Tyres used ambayo toka itengenezwe haijafikisha miaka 5. Iwe haijachongwa. Size 234/70/15.
Ushauri wa kununua mpya kaa nao. Nmesema nataka used. So usilete habari za kike. Maana wadada na wale wenzao mchicha mwiba hushauri jambo ambalo hawajaulizwa.
NATAKA TYRES USED 4. ZISIWE ZIMETUKA ZAIDI YA MIAKA 5.
" Nmesema nataka used. So usilete habari za kike. Maana wadada na wale wenzao mchicha mwiba hushauri jambo ambalo hawajaulizwa.
NATAKA TYRES USED 4. ZISIWE ZIMETUKA ZAIDI YA MIAKA 5."
Ila unaongea kwa ukali sana...
Unatufokea sana...[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Halafu hii namba 234/70/14 imekaaje boss
The fundamental cause of the trouble is that in the modern world the stupid are cocksure while the intelligent are full of doubt....teh😜