Tz is the only Economy in EAC with More Exports than Imports

Tz is the only Economy in EAC with More Exports than Imports

Mkikuyu- Akili timamu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
4,310
Reaction score
7,465
Wengi sana sana wakenya wanajiuliza Tanzania inawezaje kununua ndege Bila mkopo na kujenga SGR bila mkopo.
Tanzania ni nchi ambayo kwa sasa hakuna nchi nyingine EAC iko na positive balance of payments, kila mwaka Tz inabaki na $600mln baada ya kununua(imports)
Wengine wana sema eti shillingi ya Tz ipo chini kwa dollar, lakini kwa waliosomea uchumi wanafahamu kwamba weak currency ni advatage sana kwa export oriented country kama vile china.


Tanzania reports a $637m trade surplus in 2017
THURSDAY JUNE 29 2017

Tanzania has registered a $636.7 million surplus balance of payments for the year to April 2017, even as its exports and imports dropped.
According to the Bank of Tanzania, there was a significant recovery after the country experienced a deficit of $183.9 million in the same period in 2016.
The Bank’s monthly economic review said that the surplus resulted from the current account, which narrowed by half to a deficit of $1.6 billion due to a fall in imports.
In addition, the deficit in the current account dropped by 50.1 per cent from a level of $2.4 billion recorded in April 2016 to $ 1.6 billion this year, largely driven by a decline in the value and cost of imported goods.
“Although exports also declined, the impact was more than offset by imports. In the year ending April 2017, with the exception of food and foodstuff, all categories of goods imports declined,” said the report.
The annual import bill decreased to $7.8 billion in April 2017 from the $9.3 billion recorded in the year ending April 2016.
Tanzania reports a $637m trade surplus in 2017
 
Waache waje, report ya mwaka unaoishia April 2018 haijatoka, ila dalili zinaonyesha hali imekua nzuri zaidi kwasababu manufacturing sector imeendelea kuuza zaidi nje na serikali imepunguza sana kununua vitu toka nje ya nchi. HAPA KAZI TU.
 
Wengi sana sana wakenya wanajiuliza Tanzania inawezaje kununua ndege Bila mkopo na kujenga SGR bila mkopo.
Tanzania ni nchi ambayo kwa sasa hakuna nchi nyingine EAC iko na positive balance of payments, kila mwaka Tz inabaki na $600mln baada ya kununua(imports)
Wengine wana sema eti shillingi ya Tz ipo chini kwa dollar, lakini kwa waliosomea uchumi wanafahamu kwamba weak currency ni advatage sana kwa export oriented country kama vile china.


Tanzania reports a $637m trade surplus in 2017
THURSDAY JUNE 29 2017

Tanzania has registered a $636.7 million surplus balance of payments for the year to April 2017, even as its exports and imports dropped.
According to the Bank of Tanzania, there was a significant recovery after the country experienced a deficit of $183.9 million in the same period in 2016.
The Bank’s monthly economic review said that the surplus resulted from the current account, which narrowed by half to a deficit of $1.6 billion due to a fall in imports.
In addition, the deficit in the current account dropped by 50.1 per cent from a level of $2.4 billion recorded in April 2016 to $ 1.6 billion this year, largely driven by a decline in the value and cost of imported goods.
“Although exports also declined, the impact was more than offset by imports. In the year ending April 2017, with the exception of food and foodstuff, all categories of goods imports declined,” said the report.
The annual import bill decreased to $7.8 billion in April 2017 from the $9.3 billion recorded in the year ending April 2016.
Tanzania reports a $637m trade surplus in 2017
sasa wewe utakuwaje Mkenya kama unapost vitu za Tanzania? Wachanga kutubeba kama watoto.
 
sasa wewe utakuwaje Mkenya kama unapost vitu za Tanzania? Wachanga kutubeba kama watoto.
Hujaai jua huyo msee fala hakuangi Mkenya. Ni kifala kinajaribu tu kuonekana... Sijui anataka watanzagiza wampende au nini
 
Wengi sana sana wakenya wanajiuliza Tanzania inawezaje kununua ndege Bila mkopo na kujenga SGR bila mkopo.
Tanzania ni nchi ambayo kwa sasa hakuna nchi nyingine EAC iko na positive balance of payments, kila mwaka Tz inabaki na $600mln baada ya kununua(imports)
Wengine wana sema eti shillingi ya Tz ipo chini kwa dollar, lakini kwa waliosomea uchumi wanafahamu kwamba weak currency ni advatage sana kwa export oriented country kama vile china.


Tanzania reports a $637m trade surplus in 2017
THURSDAY JUNE 29 2017

Tanzania has registered a $636.7 million surplus balance of payments for the year to April 2017, even as its exports and imports dropped.
According to the Bank of Tanzania, there was a significant recovery after the country experienced a deficit of $183.9 million in the same period in 2016.
The Bank’s monthly economic review said that the surplus resulted from the current account, which narrowed by half to a deficit of $1.6 billion due to a fall in imports.
In addition, the deficit in the current account dropped by 50.1 per cent from a level of $2.4 billion recorded in April 2016 to $ 1.6 billion this year, largely driven by a decline in the value and cost of imported goods.
“Although exports also declined, the impact was more than offset by imports. In the year ending April 2017, with the exception of food and foodstuff, all categories of goods imports declined,” said the report.
The annual import bill decreased to $7.8 billion in April 2017 from the $9.3 billion recorded in the year ending April 2016.
Tanzania reports a $637m trade surplus in 2017
Tz has a negative balance of trade I wonder were you get your data
 
Hujaai jua huyo msee fala hakuangi Mkenya. Ni kifala kinajaribu tu kuonekana... Sijui anataka watanzagiza wampende au nini
unalia sana mkuu pole
images.jpeg
 
am tanzanian born but I don't agree with you guys # tanzania trade balance
 
Back
Top Bottom