Chukwu emeka JF-Expert Member Joined Jan 12, 2018 Posts 24,314 Reaction score 38,919 Jun 29, 2019 #1 Timu ya taifa ya watu wenye ulemavu 'Tembo warriors ' imefuzu nusu fainali ya mashindano ya soka la watu wenye ulemavu kwa nchi za Afrika mashariki na kati
Timu ya taifa ya watu wenye ulemavu 'Tembo warriors ' imefuzu nusu fainali ya mashindano ya soka la watu wenye ulemavu kwa nchi za Afrika mashariki na kati
Chukwu emeka JF-Expert Member Joined Jan 12, 2018 Posts 24,314 Reaction score 38,919 Jun 29, 2019 Thread starter #2
Chukwu emeka JF-Expert Member Joined Jan 12, 2018 Posts 24,314 Reaction score 38,919 Jun 29, 2019 Thread starter #3
Tyrex JF-Expert Member Joined Oct 15, 2012 Posts 2,373 Reaction score 5,100 Jun 29, 2019 #4 Mungu awasaidie wafike mbali
Chukwu emeka JF-Expert Member Joined Jan 12, 2018 Posts 24,314 Reaction score 38,919 Jun 29, 2019 Thread starter #5 Tyrex said: Mungu awasaidie wafike mbali Click to expand... Ameen
Kukaja Kununu JF-Expert Member Joined Mar 27, 2017 Posts 1,077 Reaction score 1,208 Jun 29, 2019 #6 Huyu jamaa wa mwanzo toka kushoto ni hatari nilimuona kwenye match ya hisani ya kiba na samatta
Peramiho yetu JF-Expert Member Joined May 25, 2018 Posts 5,303 Reaction score 14,983 Jun 29, 2019 #7 Mkuu wa mkoa wa dsm anasemaje juu ya timu hii Au haitekelezi ilan ya chama
busha JF-Expert Member Joined Jan 21, 2019 Posts 1,712 Reaction score 2,577 Jun 29, 2019 #8 Wakichkua kombe wakawa maarufu team itatekwa na makada,alafu wataanza kubolonga, Siasa inaaribu mambo ya kitaifa,
Wakichkua kombe wakawa maarufu team itatekwa na makada,alafu wataanza kubolonga, Siasa inaaribu mambo ya kitaifa,