That's the brutality of life can offer to those weaker souls.Anaekuubilia wanyonge wana nafasi yao enzini amechukua pesa zenu kajenga apartments.
Anaepaswa kukuletea maendeleo kutokana makato amenunulia fortuner ya 2012 pesa yako.
So what about you, ni kipi unacho offer? Kusalimia kila mtu mtaani? Sikufudishi uwe muharifu ila ujifunze kuwa bila ya kuwa aggressive na hii dunia, utalelewa familia.
Ila weweAnaekuubilia wanyonge wana nafasi yao enzini amechukua pesa zenu kajenga apartments.
Anaepaswa kukuletea maendeleo kutokana makato amenunulia fortuner ya 2012 pesa yako.
So what about you, ni kipi unacho offer? Kusalimia kila mtu mtaani? Sikufudishi uwe muharifu ila ujifunze kuwa bila ya kuwa aggressive na hii dunia, utalelewa familia.
Kabisa maana inabidi mtu aji asses na kujifanyia self evaluation yupo kundi gani kati ya wadhaifu au wenye nguvu kabla ya kuingia kwenye terrible and brutal game of life.For real, the weak shall perish
Mwanaume ni helaNi kweli mamii, hii dunia haijali tabasamu lako, haswa zaidi ukiwa mwanaume, utakula mawe.
Kabisa mkuu,Kabisa maana inabidi mtu aji asses na kujifanyia self evaluation yupo kundi gani kati ya wadhaifu au wenye nguvu kabla ya kuingia kwenye terrible and brutal game of life.
Naam.Kabisa mkuu,
Kosa tunalofanya tuna approach maisha na attitudes zetu naturally.
Kumbe unatakiwa uwe kama kinyonga katika kuapproach maisha.
Kama ulivyosema hapo juu lazima ujia assess