Zak Malang JF-Expert Member Joined Dec 30, 2008 Posts 5,404 Reaction score 239 Mar 31, 2010 #21 Inawezekana pia kuwa ni njia mojawapo ya wakubwa wa CCM kutengeneza pesa kutokana na tenda ya ya kushona sare hizo. Sare za CCM zinakumbushia miaka ya 1940s na wafuasi wa chama cha NAZI cha Hitler. Naomba kisielekee huko.
Inawezekana pia kuwa ni njia mojawapo ya wakubwa wa CCM kutengeneza pesa kutokana na tenda ya ya kushona sare hizo. Sare za CCM zinakumbushia miaka ya 1940s na wafuasi wa chama cha NAZI cha Hitler. Naomba kisielekee huko.
Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Joined Jul 3, 2007 Posts 5,551 Reaction score 2,153 Mar 31, 2010 #22 Bila ya kumsahau... Mtemi,Mbabe Zakaria Kamanda wa vijana Mara...