Sifa za Marioo Lazima awe kijana asiejielewa (kajizima data) kugombezwa kwake sio issue ya kumuumiza.1. Wale vijana msingi kiuno. Kiukweli mna kipaji cha kuvumilia masimango, kejeli za Hawa mashangazi.
2. Enzi zangu niliwahi kuwapelekea moto mashangazi Kwa idadi yanafika Saba (Kwa wakati tofauti) sikudumu nao. Nilizua varangati nikasepa.
3. Nimeoa Sasa, nimebaki kuwa mshauri mwelekezi (retired general)
View attachment 2860578
Ndio sifa kuu hiyoHivi mishangazi ni lazima iwe minene?
Sema watamu kuliko vinuka mkojo vya ChuoNdio sifa kuu hiyo
Hakuna shida mwanaume kuzidiwa kipato muhimu tu asiwe tegemezi kwa mwanamke. Wanawake mnataka wanaume waliowazidi kwa sababu moja ya matarajio yenu kwenye mahusiano ni kubebwa kiuchumi sasa pale unampozidi mwanaume maana yake ilo halitawezekana, utaanzaje kumuomba hela/msaada mtu uliemzidi kipato?Haipedezi / Hainogi mwanamke kumzidi mwanaume
Naona kuna ulazima na nimuhimuHivi mishangazi ni lazima iwe minene?
Hakika 😂Haya makalio yanapendeza yakiwa ndani ya nguo tu
Nimeona hapo juuHakika 😂
Kumbe adi nyie mnajua
Hilo ukishamaliza nalo kazi unaanza jutiaNimeona hapo juu
🤣🤣🤣🤣afu wanajielewa, mkiahidiana saa kumi, ye anafika saa naneSema watamu kuliko vinuka mkojo vya Chuo
Wanajielewa mnoo🤣🤣🤣🤣afu wanajielewa, mkiahidiana saa kumi, ye anafika saa nane