UAE watamba na teknolojia ya kupanda mawingu ili kuongeza kiwango cha mvua kwa mwaka

UAE watamba na teknolojia ya kupanda mawingu ili kuongeza kiwango cha mvua kwa mwaka

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Umoja wa Falme wa Kiarabu umezidi kuonesha umwamba katika kukuza teknolojia ya kutengeneza mvua ambapo kwa sasa wanapanda mawingu ili kutengeneza mvua.
1662360888274.png

Wataalamu wa UAE wamesema teknolojia hiyo sio tu ile ya kutuma ndege na kuweka kemikali kwenye mawingu bali ku-modify hali ya hewa kwa ujumla.

Teknolojia hiyo inatumia hygroscopic materials ambapo hufanya zoezi la kukusanya mvuko wenye maji na kutengeneza mawingu kwa haraka zaidi.

Teknolojia hii ilinza kufanyiwa tafiti mwaka 1990 na sasa imefanikiwa kwa kiasi kikubwa.
Teknolojia hii inafanywa kwa njia mbili, moja wapo ni kutuma ndege angani na njia nyingine ni kuachia materials ambazo zinasaidia kwenye kutengeneza mawingu.

1662360898769.png

UAE haina uhaba wa maji safi lakini teknolojia hii.


 
Aiseee... Kuna msemo mmoja hua wanasema "Science ni uchawi tu kama uchawi mwingine, ila huu umekua tu OFFICIAL/LEGALIZED to use"

Kama tumefikia hatu ya "kupanda" mawingu!!!! Sio poa!!
 
Aiseee... Kuna msemo mmoja hua wanasema "Science ni uchawi tu kama uchawi mwingine, ila huu umekua tu OFFICIAL/LEGALIZED to use"

Kama tumefikia hatu ya "kupanda" mawingu!!!! Sio poa!!
 
Aiseee... Kuna msemo mmoja hua wanasema "Science ni uchawi tu kama uchawi mwingine, ila huu umekua tu OFFICIAL/LEGALIZED to use"

Kama tumefikia hatu ya "kupanda" mawingu!!!! Sio poa!!
 
Mi wabongo na wajua...
Si ni WCB.
Mwakinyo
Mandonga
Simba Yanga.

Science waachie ngozi nyeupe.
Maana hata Ma Phd tulio nayo ni mizigo.
 
Back
Top Bottom