Uagizaji magari used Be foward

Uagizaji magari used Be foward

MONA WA KYEN

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2016
Posts
340
Reaction score
271
Wakuu habari ningependa kufahamu uzoefu kidogo juu ya uagizaji magari used kWA kutumia mtandao wa be foward.

1. Huwa uinachukua mda gani toka ulipoagiza gari na mpaka unalipata?
2. Unaweza kujua mpaka kodi ya TRA+ gharama za TPA kabla ya kuwalipa pesa ya gari mtandaoni?
3. Kuna usumbufu gani hasa unaopata gari ikifika bandarini?
4. Je, uaweza kujua consumption ya mafuta kabla ya kununua gari?
5. Kuna uhusiani gani au relation iliyopo kati ya cc za engine na lita za mafuta na pia kilometer itakazotembea kwa lita?

Ni hayo tu asanteni naamini ntapata msaada kwa wajuzi
 
1. Haipungui Siku 45 ila inategemea inaweza kuwa zaidi ya hapo
2. Inawezekana TRA wana kikotoo chao kinaitwa motor vehicle calculator,unaingiza detail za gari (aina ya gari, mwaka uliotengemezwa ,CC , n.k) itakuletea kiasi cha kulipia
3.Hakuna usimbufu wowote kuna clearing agents wanaohakikisha unapata gari lako ila kuna kiasi unawalipa pamoja na port charges.
4.Ndio ingia kwenye google aina ya gari MPG (mile per gallon) 4.5 ltre inatembea miles ngapi ,utaambiwa na kuna customer testimonials juu ya hzo gari watakuambia .
5. The less CC the less consumption (ingia jf garage) kuna uzi wataalam wameeleza, jinsi cc,torque, aina ya engine na uendeshaji inavyodetemine matumizi ya mafuta.
Nimeeleza kiasi ninavyojua asante.
 
Mkuu umeuliza maswali mengi sana na yote yanajitaji majibu makini... labda nikujibu baadhi.

Swali namba 5.. Unapozungumzia CC kwenye gari unamaanisha ujazo wa engine yaan cubic capacity. Kwa hiyo gari kadri inavyokua na cc kubwa ndivyo consumption nayo inakua kubwa japo kuna swala la engine ina cylinder ngapi.

Kwa hiyo unaweza kuwa na magari mawili yote yana cc sawa ila cylinder zinapotofautiana consumtion za mafuta zitatofautiana.

Swali namba 4.. Ni ngumu sana kujua consumptiom ya mafuta wakati unaagiza gari. Unatakiwa ujue aina ya engine ya gari ndipo unapoweza kutafuta specification zake kwenye fuel consumption

Swali namba 2.. ukiwasiliana na watu wa clearing and forwarding wanaweza wakakufanyia full estimates za total cost japo pia kwenye website ya TRA kuna calculator ya kupiga hesabu ya kodi japo baadhi ya gharama za bandarin hazijaainishwa ila inaweza kukupa mwongozo

Swali namba 1.. inaweza kukuchukua mwezi mmoja mpaka miliwi tangu unapoagiza gari mpaka inapokufikia. Inqlategemea na speed of inspection na booking ya meli inaondoka lini
 
1. Haipungui Siku 45 ila inategemea inaweza kuwa zaidi ya hapo
2. Inawezekana TRA wana kikotoo chao kinaitwa motor vehicle calculator,unaingiza detail za gari (aina ya gari, mwaka uliotengemezwa ,CC , n.k) itakuletea kiasi cha kulipia
3.Hakuna usimbufu wowote kuna clearing agents wanaohakikisha unapata gari lako ila kuna kiasi unawalipa pamoja na port charges.
4.Ndio ingia kwenye google aina ya gari MPG (mile per gallon) 4.5 ltre inatembea miles ngapi ,utaambiwa na kuna customer testimonials juu ya hzo gari watakuambia .
5. The less CC the less consumption (ingia jf garage) kuna uzi wataalam wameeleza, jinsi cc,torque, aina ya engine na uendeshaji inavyodetemine matumizi ya mafuta.
Nimeeleza kiasi ninavyojua asante.
Shukrani sana mkuu
 
5. Kuna uhusiani gani au relation iliyopo kati ya cc za engine na lita za mafuta na pia kilometer itakazotembea kwa lita?

Cubic Centimeters Cc, Ni Volume ya ukubwa wa Pistons, Pistons zikiwa kubwa System itahitaji Mafuta mengi ili kusudi Mlipuko uwe Mkubwa (Air +Spark+Petrol/Diesel) uweze kusukuma Piston hiyo efficiently Hence Power

Mlipuko wa kupush Pistons za Cc 1490 ni Tofaut na ule wa Cc 2490





Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Haipungui Siku 45 ila inategemea inaweza kuwa zaidi ya hapo
2. Inawezekana TRA wana kikotoo chao kinaitwa motor vehicle calculator,unaingiza detail za gari (aina ya gari, mwaka uliotengemezwa ,CC , n.k) itakuletea kiasi cha kulipia
3.Hakuna usimbufu wowote kuna clearing agents wanaohakikisha unapata gari lako ila kuna kiasi unawalipa pamoja na port charges.
4.Ndio ingia kwenye google aina ya gari MPG (mile per gallon) 4.5 ltre inatembea miles ngapi ,utaambiwa na kuna customer testimonials juu ya hzo gari watakuambia .
5. The less CC the less consumption (ingia jf garage) kuna uzi wataalam wameeleza, jinsi cc,torque, aina ya engine na uendeshaji inavyodetemine matumizi ya mafuta.
Nimeeleza kiasi ninavyojua asante.
Hivi naweza kuagiza hadi landcruser pia?
 
Mkuu umeuliza maswali mengi sana na yote yanajitaji majibu makini... labda nikujibu baadhi.

Swali namba 5.. Unapozungumzia CC kwenye gari unamaanisha ujazo wa engine yaan cubic capacity. Kwa hiyo gari kadri inavyokua na cc kubwa ndivyo consumption nayo inakua kubwa japo kuna swala la engine ina cylinder ngapi.

Kwa hiyo unaweza kuwa na magari mawili yote yana cc sawa ila cylinder zinapotofautiana consumtion za mafuta zitatofautiana.

Swali namba 4.. Ni ngumu sana kujua consumptiom ya mafuta wakati unaagiza gari. Unatakiwa ujue aina ya engine ya gari ndipo unapoweza kutafuta specification zake kwenye fuel consumption

Swali namba 2.. ukiwasiliana na watu wa clearing and forwarding wanaweza wakakufanyia full estimates za total cost japo pia kwenye website ya TRA kuna calculator ya kupiga hesabu ya kodi japo baadhi ya gharama za bandarin hazijaainishwa ila inaweza kukupa mwongozo

Swali namba 1.. inaweza kukuchukua mwezi mmoja mpaka miliwi tangu unapoagiza gari mpaka inapokufikia. Inqlategemea na speed of inspection na booking ya meli inaondoka lini
Nahukuru kwa majibu mazuri mkuu,
2.. ukiwasiliana na watu wa clearing and forwarding wanaweza wakakufanyia full estimates za total cost japo pia kwenye website ya TRA kuna calculator ya kupiga hesabu ya kodi japo baadhi ya gharama za bandarin hazijaainishwa ila inaweza kukupa mwongozo

Hivi siwezi ku-clear mwenyewe bila ya kuwatumia?
 
Nahukuru kwa majibu mazuri mkuu,
2.. ukiwasiliana na watu wa clearing and forwarding wanaweza wakakufanyia full estimates za total cost japo pia kwenye website ya TRA kuna calculator ya kupiga hesabu ya kodi japo baadhi ya gharama za bandarin hazijaainishwa ila inaweza kukupa mwongozo

Hivi siwezi ku-clear mwenyewe bila ya kuwatumia?

Ni ngumu sana boss na mara nyingi pale wanadiscourage clearing ya mtu mmoja mmoja. Lazima utawatumia tuu
 
Back
Top Bottom