Uagizaji wa vinywaji (hard & soft drinks) kutoka nje ya nchi

Click Hapa

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
479
Reaction score
206
Team,
Naomba kufahamishwa ni taratibu zipi za kisheria kwa mujibu sheria za Tanzania zinatakiwa kupitiwa ili kuweza kuagiza (to import) vinywaji kutoka nje ya nchi?
Natanguliza shukurani.
 
Wanaotoa South Africa wanapakia tu kwenye malori Kisha wakifika Tunduma au Kasumulu wanamalizana na TFDA, TBS na TRA. Huko vinakotoka wanapewa documents za ubora kabisa (certificates).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…