Ualimu Buana!

Ualimu Buana!

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
*Kinacho udhi kwenye kazi ya uwalimu ni pale unapo kuwa darasani unafundisha, anakuja mwalimu mwenzako anakuambia*
*KUMBE UPO PERIOD, endelea kwanza nitakuona baadae*
 
hamna kitu kama hicho...ila wanasemaga "my period"
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Tunatimiza wajibu wetu wa kuwafundisha lakini mnatafsiri kwa lugha na maana za kijinga!
 
jukwaa lenyewe la utani na mchizi bot kaleta joke yake lakini ndo hivyo tena haichekeshi.
 
Back
Top Bottom