Je, management ya mwalimu inafanywa na wizara ya elimu au pale wilayani? Nimefungua
pdf ya waliochaguliwa 2011/12 na mwajiri inaonyeshwa kuwa ni either
MKURUGENZI MANISPAA,
MKURUGENZI MTENDAJI,
au KATIBU MKUU
Kwa anaye fahamu structure ya management please, nipe details.
Ninachojaribu kufahamu ni nani anayepaswa kum'manage mwajiriwa (mwalimu), na pesa za malipo yake tofauti tofauti yanatolewa na nani?
Thanks,
KK