Ualimu ni kazi ngumu jamani!!

Hapo kwenye ku-expand nimecheka sana
 
Kazi nyepesi ni kuingia na kutoka benki kuweka na kutoa heshima kwa njia ya makaratasi yenye laana (mwanaharamu) huku wahudumu wakikuona wanakenua meno na heshima nyingi kuwaomba kufanya hivyo.
 
badala ya kuwasaidia unapost their flaws here?shame on you!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…