MWALIMU DAIMA
Senior Member
- Mar 4, 2023
- 129
- 263
Habari Wana JF
Hope wote ni wazima, kwa upande wangu Mimi ni mzima wa afya. Niende moja kwa moja kwenye mada, kwa miaka mingi sasa taaluma ya ualimu imekuwa ikichukuliwa kama taaluma dhaifu, taaluma hii imedharaurika kwa muda mrefu.
Maisha ya walimu ni duni sana, maslah ya walimu bado yapo chini, mazingira ya kazi pia bado sio rafiki, ukilinganisha na taaluma nyingine.
Swali ambalo najiuliza daima inakuwaje taaluma hii mama ambayo inahusika moja kwa moja na kujenga taifa Ina sulubishwa?
Cha ajabu Zaidi chama Cha walimu pia kina lalamikiwa na walimu Wengi kuwa hakitetei haki na maslah ya walimu hii ni aibu na hatari sana. Walimu wanafanya kazi wakiwa na vinyongo na chuki moyoni mwao , Hali hii itaisha lini?
Walimu tumekuwa wajinga kiasi hiki cha kushidwa kusimama kwa pamoja na kupinga ukandamizaji huu,
Walimu tumekuwa waoga huku maslah yetu yako finywa, HAPANA ni Wakati sasa walimu kuamka na kupambana kwa ajiri ya haki na mustabali wa taaluma yetu.
# teacher movement
Hope wote ni wazima, kwa upande wangu Mimi ni mzima wa afya. Niende moja kwa moja kwenye mada, kwa miaka mingi sasa taaluma ya ualimu imekuwa ikichukuliwa kama taaluma dhaifu, taaluma hii imedharaurika kwa muda mrefu.
Maisha ya walimu ni duni sana, maslah ya walimu bado yapo chini, mazingira ya kazi pia bado sio rafiki, ukilinganisha na taaluma nyingine.
Swali ambalo najiuliza daima inakuwaje taaluma hii mama ambayo inahusika moja kwa moja na kujenga taifa Ina sulubishwa?
Cha ajabu Zaidi chama Cha walimu pia kina lalamikiwa na walimu Wengi kuwa hakitetei haki na maslah ya walimu hii ni aibu na hatari sana. Walimu wanafanya kazi wakiwa na vinyongo na chuki moyoni mwao , Hali hii itaisha lini?
Walimu tumekuwa wajinga kiasi hiki cha kushidwa kusimama kwa pamoja na kupinga ukandamizaji huu,
Walimu tumekuwa waoga huku maslah yetu yako finywa, HAPANA ni Wakati sasa walimu kuamka na kupambana kwa ajiri ya haki na mustabali wa taaluma yetu.
# teacher movement