*Ualimu ni wito*

*Ualimu ni wito*

mbwana semsimbazi

Senior Member
Joined
Sep 5, 2013
Posts
196
Reaction score
202
Mwalimu mgeni alichora moyo ubaon kwa vile hakuwa mchoraj mzuur mchoro ulionekana hovyo akawageukia wanafunzi akawaulza MWALIMU nani anajua nimechora nn!?! MWANAFUNZ 1: akasema umechora matako mwalim

MWANAFUNZ 2: (ni matako)

MWANAFUNZ 3: kweel n tako

Mwalimu akakasirika akaenda kushitak kwa mwalimu mkuu bas mwalm mkuu akaenda nae darasan MWALIMU MKUU. Mbona mnamdharau mwalimu!?! WANAFUNZ : hatujamdharau mwalimu...

MWALIMU MKUU: kama hamjamdharau nani kachora matako ubaoni!?!
 
sasa hayo matako yameangali juu au ?
 
Back
Top Bottom