walimu hususan vyuoni wanapowaambia wanafunzi hususan freshers kuwa 'hili darasa mpo wengi mno inabidi mpungue ili kuwepo na hewa' na kuna wanaosemaga 'hii course hakuna anayeweza kupata A'
je lengo lao ni zuri kweli!?♥ na je wanatambua maana ya ualimu na madaraja yaliyowekwa!?
Im all eyes to hear from u Thinkers!♥