Ualimu

Ualimu

J C

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2013
Posts
3,061
Reaction score
2,541
julius Nyerere alikuwa mwl akaukimbia kuelekea siasa anafanyiwa, Rais John Magufuri alikuwa mwalimu akaukimbia kuelekea siasani ndio huyoo kaula, waziri mteuliwa Kasimu Majaliwa alikuwa mwalimu kaukimbia kafanikiwa. Cha ajabu hawa wote na waliotangulia hawakukumbuka walikotoka bali wanazidi kuwakandamiza wenzao ili nao watoke. Sara wewe ukumbatie ualimu uone ka utatoka. Utasubiri sana. Hivi mke wa mustafa amerudi kufundisha tena ama ndio kwaheri mwalimu?.
 
julius nyerere alikuwa mwl akaukimbia kuelekea siasa anafanyiwa, rais john magufuri alikuwa mwalimu akaukimbia kuelekea siasani ndio huyoo kaula, waziri mteuliwa kasimu majaliwa alikuwa mwalimu kaukimbia kafanikiwa. Cha ajabu hawa wote na waliotangulia hawakukumbuka walikotoka bali wanazidi kuwakandamiza wenzao ili nao watoke. Sara wewe ukumbatie ualimu uone ka utatoka. Utasubiri sana. Hivi mke wa mustafa amerudi kufundisha tena ama ndio kwaheri mwalimu?.

jaribu na wewe.........
 
Back
Top Bottom