Uaminifu (100%) ktk ndoa inawezekana?


ha ha ha ha ha ha
 
Hii discussion haiwezi kupata muafaka, la msingi kaangalie kuna research tulifanya hapahapa jf juu ya infidelity and the results are shocking. Baba Gift msaidie kuitafuta..........kwi kwi kwi
 
Hii discussion haiwezi kupata muafaka, la msingi kaangalie kuna research tulifanya hapahapa jf juu ya infidelity and the results are shocking. Baba Gift msaidie kuitafuta..........kwi kwi kwi
The Following User Says Thank You to carmel For This Useful Post:

Baba Gift (Today)​
 
ndivyo ilivyo mkuu!.....
IT IS THERE TO STAY

Aisee hebu mchunguzee Bigirita anataka kukuhamisha meza, hizo route zake za come and go halafu go and come asubuhi na jioni zinanitia shaka sana ndio maana nime request wamuwekee magogo barabara ile
 

Rose1980:

Hawapo... NUKTA

Inawezekana wewe unaongelea nadharia zaidi - Mimi ninaongelea uzoefu my dear - being married for 15+ years na nimebahatika kutembea 80% ya Tanzania anf a couple of countries abroad.

Kwa Dar hapa ninapoishi sasa nime-interact na watu wa aina zote za maisha - Upanga hadi Oysterbay, Kinondoni hadi Temeke, Mikocheni hadi Bunju. Pia maudhurio yangu kwenye sehemu za starehe ni MAZURI sana!

Nimefanya utafiti kuhusu mienendo ya Wana Ndoa na taasisi moja hapa Dar es Salaam na Mwanza mara mbili kwa kutumia "sample" tofauti. Na kila mara watu wote tuliowahoji wanandoa 97% walikubali kuwa at least once walishawahi kutembea nje ya ndoa!
 
Kusema mlikuwa kwenye INFIDELITY BONDENI HOTELI ofkoz una abide with rules and regulations ndio maana Roya is just a mercenary

Aisee hebu nyamaza natafuta spika mpya wa bunge....
 
Never expect....! Kwa ushauri; better to expect the good, then getting the better than expecting the best, but getting the better.....! Kwangu mimi :nono::nono::nono::nono::nono::nono:

wewe wewe komaaaaaaa
ustake nipewe talak mie na roy wangu
towash wangu mwenyewe stak kumuudhi
...ndo shda ya dig dig yan hawawez kutunza siri jaman ahh..nikiachwa uku ntakuja ukouko!!!!!:yield::yield::yield::yield::yield:
Hapo kwenye red, ndio sumu ya mahusiano...! Ukiweza kudelete hilo file kwa mwenzio itawezekana, lakini kama hilo file unalo kwenye moyo na ubongo wako basi kuna uhatari sana....! Ndio maana tuko tofauti na wenzetu wazungu...! Wao wanafanya mambo yao waziwazi, then sisi tunawacheka, tunawashangaa, na kuwasema sana....! Kumbe nasi tunafanya kinafiki, tena zaidi yao...!
 
The Following User Says Thank You to Baba_Enock For This Useful Post:

Baba Gift (Today,Baba Gift (Today),Baba Gift (Today),Baba Gift (Today),Baba Gift (Today),Baba Gift (Today),Baba Gift (Today),Baba Gift (Today),Baba Gift (Today),Baba Gift (Today),Baba Gift (Today),Baba Gift (Today),Baba Gift (Today),Baba Gift (Today),Baba Gift (Today),Baba Gift (Today),Baba Gift (Today),Baba Gift (Today),Baba Gift (Today)​
 

Mkuu unaweza kutoa mchanganuo? I mean wanaume vs wanawake....
Nadhani kwa wanawake uwezekano wa kutii kiapo cha ndoa ni mkubwa kuliko wanaume...
 
Mkuu unaweza kutoa mchanganuo? I mean wanaume vs wanawake....
Nadhani kwa wanawake uwezekano wa kutii kiapo cha ndoa ni mkubwa kuliko wanaume...

The Following User Says Thank You to Roya Roy For This Useful Post:

The Following User Says Thank You to Roya Roy For This Useful Post:

The Finest (Today)​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…