Uaminifu (100%) ktk ndoa inawezekana?

mtu hawezi nidanganya mimi kwamba wanawake ni ''waaminifu'' wakati roya kila siku anajirusha na wake za watu
 

"Mbona wenzetu weupe asilimia kubwa ni waminifu?":nono:
tupe evidence..
 

Hata mimi hilo suala niliishalifikiria sana
 
Baba Enock umenichanganya sana leo
kwanza umesema hawapo
Pili umesema ni 97% ndio wanaofanya that means 3% wapo
tatu umesema wanaotembea nje ya ndoa, hivi kuna wanaotembea ndani ya ndoa

MIe natembea sana mikoani na dunia nzima, au kutembea nje mna maana gani?

where is Kamanda MJ1 when you a language guru?
 
sa unakataa nin?
r u roze?
mimi ndo muhusika na nimesema as i sayed
ukikataa we mkaidi

inawezekana kwako.. roya mbona nae unamsemea?
actually hio:nono: nilimaanisha kwa roya, kwa wewe nikiangalia hilo jicho tu najua ni kweli
 

haya wee...
 
you have been warned!....
 

USENGWILEEEEE.....usengwleeeeeeeeee bambo
ni kweli kasema asilimia 97 so kuna 3 zmebak wapo
sasa conclsiom yake ya ..HAKUNA WAAMINIFU sjui inakujaje????
 


The Following 2 Users Say Thank You to Baba_Enock For This Useful Post:

 
inawezekana kwako.. roya mbona nae unamsemea?
actually hio:nono: nilimaanisha kwa roya, kwa wewe nikiangalia hilo jicho tu najua ni kweli

hahaaaaaaaaaaa hhaaaaa ukiangalia jicho tu hahahha hahah umenchekesha aya bwana
km unaaminivo mi sina pingamizi swt at lakin jicho langu bovu jaman ..si mbwembwe...ni matatizo...
roy namjibia kwasababu ubavu wake ndo niliumbwa mimi!!!!
upo?
ntafutie dawa ya jicho bas.......:yield::yield::yield::yield:
 
copy!....
 
@Samora10, nina ndugu kaolewa na mweupe na until now wameishi miaka 45, na anakwambia kwa muda wote hajawai kutoka nje zaidi ya mkewe tu! so its possible, UAMINIFU IKUANZIE WEWE:smile:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…