Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namimi nataka kuagiza bike, lakini ninawasiwasi hapo kwenye kupata mzigo. Wazoefu watusaidie tafadhaliHivi ukinunulia simu Alibaba kwa njia ya mtandao ni waaminifu?
Na wanakuletea simu sahihi ambayo inasoma mtandao?
Ni waaminifu sana, kuwa tu makini kwenye kufanya uchaguzi, yaani chagua kitu sahihi.Namimi nataka kuagiza bike, lakini ninawasiwasi hapo kwenye kupata mzigo. Wazoefu watusaidie tafadhali
Je wana magari Lamborghini Bugatti na Ferrari? Nataka kuagiza za kutosha.Ni waaminifu sana, kuwa tu makini kwenye kufanya uchaguzi, yaani chagua kitu sahihi.
Hata Train za SGR Wanazo unaweza agiza pia!!Je wana magari Lamborghini Bugatti na Ferrari? Nataka kuagiza za kutosha.
Mbona nilikuwa najua! Je wanazo pia falcon X rockets na submarines? Nataka kununua za kutoshaHata Train za SGR Wanazo unaweza agiza pia!!
Unafanyeje malipo? Njia wanazotumia ni zipi?Uwe makini kwenye kuagiza,wanakuletea.. niliagiza kitambaa cha meza,nikaletewa, nikaagiza smart watch, x dt.. nilipokea juzi,Jumamosi ya 23/11/2024.. nilikuwa najaribu.. saa nilipa tsh 85,000..ila kwenye la bongo ni 180,000tsh..
Unafanyeje malipo? Njia wanazotumia ni zipi?