Kwanza karibu sana JF paka nyau...
kuhusu uaminifu,ungetupa data za utafiti wako ingekuwa vyema zaidi kwani ungeonesha wanaume ni wahuni kiasi gani kuliko wanawake...
Sidhani kama hili ni jukwaa la kujadili mambo ya kimahusiano, sioni uhusiano wake na JF Doctor...Karibu Paka Nyau hapa JF (naona ni post yako ya kwanza) lakini jukwaa husika la mada yako hii ni MMU!