Uaminifu

Karume kassim

Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
5
Reaction score
0
Kwanin wanawake hawaridhiki kuwa na mwanaume mmoja? Au ndio msemo wa figa moja haliivishi chakula unaukweli uliojificha?
 
Kwanini wanawake hawaridhiki kuwa na mwanaume mmoja? Au ndio msemo wa figa mmoja haliivishi chakula unaukweli ndan yake?
 
wanatongozwa sana kiasi cha kwamba wanashindwa kustahimili hivyo vishawishi .....they are humans jamani!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…