R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,575
|
[TD="bgcolor: #ffffff"]
[TD="align: center"][/TD]
|
LET THEM FREE,vyovyote iwavyo source kubwa ya mapambano yao ni MUUNGANO.
ri kosa li sawaMwezi mungu watoe uamsho kwani wamefungwa kwaajri iya kuupinga muungano,nasio udini nimeangaria cd zao nyingi jamaa hawautaki muungano na muda utakapo jiri itakua open
sahihi kabisa,hawa jamaa sio walikuwa wanapinga dini nyingine hapana walikuwa wanapinga muunganoMwezi mungu watoe uamsho kwani wamefungwa kwaajiri ya kuupinga muungano,nasio udini nimeangaria cd zao nyingi jamaa hawautaki muungano na muda utakapo jiri itakua open
Nawaagiza FBI wakamchunguze huyo hakimu..
La abadilishwe wamchukue kutoka bara
Zanzibar kwanza.
Umemaliza hakuna hoja nyengine hakuna udini wala nini