Hii kesi ipigwe kalenda hadi baada ya 2015, baada ya hapo awe convicted, afungwe miaka 10 jela!
Kisheria kila mtu ana haki ya kupata dhamana, isipokuwa muuaji na mbakaji na wangine wanaofana na na hao, watu wanaotaka tuuane wenyewe kwa wenyewe wanafaa kuwa rumande.
ponda na uamsho ni zaidi ya mbakaji na muuaji