Uamuzi huu wa ghafla wa Tundu Lissu kisiasa, maana yake ni ama awe mwenyekiti wa CHADEMA taifa ama aangalie utaratibu na uelekeo mwingine

Uamuzi huu wa ghafla wa Tundu Lissu kisiasa, maana yake ni ama awe mwenyekiti wa CHADEMA taifa ama aangalie utaratibu na uelekeo mwingine

Mr-Njombe

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
64
Reaction score
122
Hii ni polite exit strategy ya kuondoka chadema.
kubaki kwake chadema ni lazima ashinde uenyekiti taifa. kinyume na hivyo atachukua mkondo mwingine kisiasa.

Ni kwanini atangaze kugombea umakamu mwenyekiti awali, halafu ghafla unabadili gia angani na kuutaka uenyekiti na sio umakamu mwenyekiti tena?

Amesense kitu gani kwenye uchaguzi wa nafasi ya makamu mwenyekiti?

Au ameshatonywa kwamba asahau nafasi hiyo ya umakamu mwenyekiti taifa kwenye uchaguzi huu, na akaona bora liwalo na liwe, kama mbwai na iwe mbwai, akalazimika kuamua kupambana na chairman wa sasa?

Uanadhani ni wapi ataelekea endapo atashindwa uchaguzi huo au kuenguliwa mapema kabla ya uchaguzi?

Uamuzi huu unadhihirisha kwamba chadema kuna fukuto japo ni haki na uhuru wa kila mwanachadema.
 
Hii ni polite exit strategy ya kuondoka chadema.
kubaki kwake chadema ni lazima ashinde uenyekiti taifa. kinyume na hivyo atachukua mkondo mwingine kisiasa.

Ni kwanini atangaze kugombea umakamu mwenyekiti awali, halafu ghafla unabadili gia angani na kuutaka uenyekiti na sio umakamu mwenyekiti tena?

Amesense kitu gani kwenye uchaguzi wa nafasi ya makamu mwenyekiti?

Au ameshatonywa kwamba asahau nafasi hiyo ya umakamu mwenyekiti taifa kwenye uchaguzi huu, na akaona bora liwalo na liwe, kama mbwai na iwe mbwai, akalazimika kuamua kupambana na chairman wa sasa?

Uanadhani ni wapi ataelekea endapo atashindwa uchaguzi huo au kuenguliwa mapema kabla ya uchaguzi?

Uamuzi huu unadhihirisha kwamba chadema kuna fukuto japo ni haki na uhuru wa kila mwanachadema.
Kwa wapinzani wa uhakika tanzania lisu ndio mpinzani..hao wengine ni janjajanja tu.
 
Endeleeni na upigaji ramli wenu, ila kinachoendelea CDM ni akili kubwa sana.
Kongole kwa Mbowe na Lissu kwa mikakati mikubwa.
Hii ni polite exit strategy ya kuondoka chadema.
kubaki kwake chadema ni lazima ashinde uenyekiti taifa. kinyume na hivyo atachukua mkondo mwingine kisiasa.

Ni kwanini atangaze kugombea umakamu mwenyekiti awali, halafu ghafla unabadili gia angani na kuutaka uenyekiti na sio umakamu mwenyekiti tena?

Amesense kitu gani kwenye uchaguzi wa nafasi ya makamu mwenyekiti?

Au ameshatonywa kwamba asahau nafasi hiyo ya umakamu mwenyekiti taifa kwenye uchaguzi huu, na akaona bora liwalo na liwe, kama mbwai na iwe mbwai, akalazimika kuamua kupambana na chairman wa sasa?

Uanadhani ni wapi ataelekea endapo atashindwa uchaguzi huo au kuenguliwa mapema kabla ya uchaguzi?

Uamuzi huu unadhihirisha kwamba chadema kuna fukuto japo ni haki na uhuru wa kila mwanachadema.
 
Jibu ni hilo la pili. Ni suala la muda tu, Taasisi kunmbwa hugombei cheo cha juu kabisa bila kushirikiana na aliyenacho na kuweka mikakati ya pamoja.

Mbowe kuiacha CDM bila maridhiano na Lissu ndiyo mwisho wa chama.
 
Lissu na Makonda ni wanasiasa zinaitwa Fascism...

Bahati mbaya Watu hawasomi history ya Dunia na Kujifunza haya mambo.

Makonda ubaya wake ni kuwa yuko CCM ila angekuwa Chadema basi angekuwa mtu muhimu kama alivyo Lissu Leo...

Makonda na Lissu ni Watu Wenye msimamo na Ushawishi but wakiwa na Nafasi za juu sana wanaweza wakama kama Akina Hitler au Musolin
 
Aanzishe Chama chake...
Huko hawatamuacha salama.
 
Hii ni polite exit strategy ya kuondoka chadema.
kubaki kwake chadema ni lazima ashinde uenyekiti taifa. kinyume na hivyo atachukua mkondo mwingine kisiasa.

Ni kwanini atangaze kugombea umakamu mwenyekiti awali, halafu ghafla unabadili gia angani na kuutaka uenyekiti na sio umakamu mwenyekiti tena?

Amesense kitu gani kwenye uchaguzi wa nafasi ya makamu mwenyekiti?

Au ameshatonywa kwamba asahau nafasi hiyo ya umakamu mwenyekiti taifa kwenye uchaguzi huu, na akaona bora liwalo na liwe, kama mbwai na iwe mbwai, akalazimika kuamua kupambana na chairman wa sasa?

Uanadhani ni wapi ataelekea endapo atashindwa uchaguzi huo au kuenguliwa mapema kabla ya uchaguzi?

Uamuzi huu unadhihirisha kwamba chadema kuna fukuto japo ni haki na uhuru wa kila mwanachadema.
Unapenda sana kupiga ramli.

Hivi una uhakika kuwa Mbowe atagombea? Kauli ya mwanzoni mwa mwa mwaka huu ya Mbowe, alisema kuwa hatagombea. Lakini hata akibadili huo uamuzi, akaamua kugombea tena, ni haki yake. Wapiga kura ndiyo wenye maamuzi.

Siku zote uchaguzi lazima kuwe na machaguo. Na Mbowe hajawahi kugombea pekee yake. Unapokuwa na mpinzani, unakuwa tayari unajua kama unaweza kushinda au kushindwa.

CHADEMA siyo CCM, hiki ni chama cha kidemokrasia, siyo cha kidikteta kama CCM, cha kuchapisha fomu 1!!
 
Unapenda sana kupiga ramli.

Hivi una uhakika kuwa Mbowe atagombea? Kauli ya mwanzoni mwa mwa mwaka huu ya Mbowe, alisema kuwa hatagombea. Lakini hata akibadili huo uamuzi, akaamua kugombea tena, ni haki yake. Wapiga kura ndiyo wenye maamuzi.

Siku zote uchaguzi lazima kuwe na machaguo. Na Mbowe hajawahi kugombea pekee yake. Unapokuwa na mpinzani, unakuwa tayari unajua kama unaweza kushinda au kushindwa.

CHADEMA siyo CCM, hiki ni chama cha kidemokrasia, siyo cha kidikteta kama CCM, cha kuchapisha fomu 1!!
Haahaa ccm fomu ya mwenyekiti ni moja tu, ukihoji unatimliwa mbali
 
Hii ni polite exit strategy ya kuondoka chadema.
kubaki kwake chadema ni lazima ashinde uenyekiti taifa. kinyume na hivyo atachukua mkondo mwingine kisiasa.

Ni kwanini atangaze kugombea umakamu mwenyekiti awali, halafu ghafla unabadili gia angani na kuutaka uenyekiti na sio umakamu mwenyekiti tena?

Amesense kitu gani kwenye uchaguzi wa nafasi ya makamu mwenyekiti?

Au ameshatonywa kwamba asahau nafasi hiyo ya umakamu mwenyekiti taifa kwenye uchaguzi huu, na akaona bora liwalo na liwe, kama mbwai na iwe mbwai, akalazimika kuamua kupambana na chairman wa sasa?

Uanadhani ni wapi ataelekea endapo atashindwa uchaguzi huo au kuenguliwa mapema kabla ya uchaguzi?

Uamuzi huu unadhihirisha kwamba chadema kuna fukuto japo ni haki na uhuru wa kila mwanachadema.
Lissu anaenda kupewa uwaziri mkuu mwakani, ili taaluma yake aitumie kwa taifa sio ana bwabwaja bwajawaja tu kila siku na kuwarushia watu mvua ya mate!!!
 
Hii ni polite exit strategy ya kuondoka chadema.
kubaki kwake chadema ni lazima ashinde uenyekiti taifa. kinyume na hivyo atachukua mkondo mwingine kisiasa.

Ni kwanini atangaze kugombea umakamu mwenyekiti awali, halafu ghafla unabadili gia angani na kuutaka uenyekiti na sio umakamu mwenyekiti tena?

Amesense kitu gani kwenye uchaguzi wa nafasi ya makamu mwenyekiti?

Au ameshatonywa kwamba asahau nafasi hiyo ya umakamu mwenyekiti taifa kwenye uchaguzi huu, na akaona bora liwalo na liwe, kama mbwai na iwe mbwai, akalazimika kuamua kupambana na chairman wa sasa?

Uanadhani ni wapi ataelekea endapo atashindwa uchaguzi huo au kuenguliwa mapema kabla ya uchaguzi?

Uamuzi huu unadhihirisha kwamba chadema kuna fukuto japo ni haki na uhuru wa kila mwanachadema.
Gentleman,
For sure,
Ni Lazima mungwana Lisu atakua amejihakikishia kwanza destination mpya ya uhakika kisiasa, ndipo akaamua kusudio hili la moto sana ndani ya chadema ilogawanyika na yenye chuki na uhasama wa wazi kabisa miongoni mwa waandamizi wake.

Bilashaka anaelekea CHAUMA ya adv. Hashim Rungwe Spunda 🐒
 
Back
Top Bottom