Simba lunyasi JF-Expert Member Joined Sep 28, 2022 Posts 385 Reaction score 840 Jan 9, 2023 #41 eliasmisinzo said: Hao Simba walimlipia na kambi huko Dubai, mpango wao waliupitishia Azam, wameanguka ni vilio tupu[emoji1][emoji1] Click to expand... Acha kuihusisha Simba na mambo ya kijinga
eliasmisinzo said: Hao Simba walimlipia na kambi huko Dubai, mpango wao waliupitishia Azam, wameanguka ni vilio tupu[emoji1][emoji1] Click to expand... Acha kuihusisha Simba na mambo ya kijinga
Lukub JF-Expert Member Joined Feb 5, 2012 Posts 3,622 Reaction score 4,100 Jan 9, 2023 #42 KAGAMEE said: Alijifanya mjanja wampokee asugue benchi.Sijui uarabun alipelekwa na nan Click to expand... ukiwa masikini hata Dubai unaona mbali nauli ya Dubai ni mara mbili nauli ya Arusha -Dar, Dar-Mza , kiufupi tafuta Hela Dubai nauli ya kawaida
KAGAMEE said: Alijifanya mjanja wampokee asugue benchi.Sijui uarabun alipelekwa na nan Click to expand... ukiwa masikini hata Dubai unaona mbali nauli ya Dubai ni mara mbili nauli ya Arusha -Dar, Dar-Mza , kiufupi tafuta Hela Dubai nauli ya kawaida
Mgagaa na Upwa JF-Expert Member Joined Sep 30, 2013 Posts 13,481 Reaction score 28,116 Jan 9, 2023 #43 Ngobho he ndele said: Nazidi kuamini kua wenye akiri ni wa wili tu Click to expand... Binafsi naendelea kuamini rage anastahili kujengewa mnara maana lile jina la mbu3 listahili kwa watu husika
Ngobho he ndele said: Nazidi kuamini kua wenye akiri ni wa wili tu Click to expand... Binafsi naendelea kuamini rage anastahili kujengewa mnara maana lile jina la mbu3 listahili kwa watu husika