Uamuzi niliofanya ni sahihi?

Uamuzi niliofanya ni sahihi?

Furahatuu

Senior Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
115
Reaction score
40
katika harakati zangu za kuwa mjasiriamali nikajikusanyia ka mtaji ambako hadi sasa kamefikia milioni 4. nilikuwa najikusanyia kwa kudunduliza kamshahara na biashara za mkononi. wakati najikusanyia hiyo fedha mkakopa benki nkanunua kiwanja. sasa nikiangalia hiyo 4m haitoshi hata kujenga nyumba na nilikuwa nimepanga kufanyia biashara hapa nilipo ila gharama za kupata sehemu ya biashara zimekuwa kubwa na hivyo nimeona ninunue tu kiwanja kingine hapa nilipo ila bado sijafanya hivyo. Naomba ushauri ni sahihi kununua kiwanja kingine au kujenga nyumba ambayo haitamalizika? fedha naipata taratibu sana. naamini ma thinkers mtanipa ushauri mzuri na Mungu awabariki
 
Uamuzi wako sio mbaya, ila jaribu kuangalia ardhi eneo lako inapanda thamani kwa kasi gani kama ni kidogo sana nawe wataka kuanza kujenga rudi kuizungusha hela tena hadi ujazie ili uanzie kujenga. Lakini pia kama inapanda thamani waweza nunua ardhi na kuiweka hadi mwakani ukiiuza utaweza kuttumia kujengea nyumba yako ingawa vifaa pia vitakuwa vimepanda. Ushauri wangu sifahamu unataka kujenga nyumba ya gharama gani na kwa kasi gani, lakini kama ni ya kawaida unaweza tumia hela kidogo kuendelea kuizungusha kwa biashara na iliyobaki ukanunua vifaa na kuanzia ujenzi taratibu. Ukitaka ujenge kwa muda mfupi na gharama kubwa basi labda utumie mkopo kitu ambacho ni cost kutokana na riba kubwa.
 
katika harakati zangu za kuwa mjasiriamali nikajikusanyia ka mtaji ambako hadi sasa kamefikia milioni 4. nilikuwa najikusanyia kwa kudunduliza kamshahara na biashara za mkononi. wakati najikusanyia hiyo fedha mkakopa benki nkanunua kiwanja. sasa nikiangalia hiyo 4m haitoshi hata kujenga nyumba na nilikuwa nimepanga kufanyia biashara hapa nilipo ila gharama za kupata sehemu ya biashara zimekuwa kubwa na hivyo nimeona ninunue tu kiwanja kingine hapa nilipo ila bado sijafanya hivyo. Naomba ushauri ni sahihi kununua kiwanja kingine au kujenga nyumba ambayo haitamalizika? fedha naipata taratibu sana. naamini ma thinkers mtanipa ushauri mzuri na Mungu awabariki

Kiwanja kinatunza hela vizuri zaidi kama hela yako ni ndogo, sababu ni hii,ukishanunua utakuwa na uhakika kuwa kiwanja kipo kina hela yangu kiasi kadhaa na huku ikiongezeka kama umenunua sehemu salama. Siku ukipata plan sahihi na unahitaji hela, waweza kukiuza na kujazia pale kwenye kiasi ulicho nacho mkononi, na pengine kiwanja hicho chaweza zaa kiwanja kingine huko mbele.

Taabu za kuweka mtaji mdogo ktk ardhi ni kwamba itabidi uanze moja tena kudunduliza, inachukua muda. Kukaa na hela mkononi ni risk zaidi, kupeleka benki ndio unaimaliza kabisa. Kama uko vizuri ktk mazingira yako, bora uzungushe zaidi ili ikupe uwezo mkubwa wa kuizalisha.
 
Uamuzi wako sio mbaya, ila jaribu kuangalia ardhi eneo lako inapanda thamani kwa kasi gani kama ni kidogo sana nawe wataka kuanza kujenga rudi kuizungusha hela tena hadi ujazie ili uanzie kujenga. Lakini pia kama inapanda thamani waweza nunua ardhi na kuiweka hadi mwakani ukiiuza utaweza kuttumia kujengea nyumba yako ingawa vifaa pia vitakuwa vimepanda. Ushauri wangu sifahamu unataka kujenga nyumba ya gharama gani na kwa kasi gani, lakini kama ni ya kawaida unaweza tumia hela kidogo kuendelea kuizungusha kwa biashara na iliyobaki ukanunua vifaa na kuanzia ujenzi taratibu. Ukitaka ujenge kwa muda mfupi na gharama kubwa basi labda utumie mkopo kitu ambacho ni cost kutokana na riba kubwa.
Nashukuru kwa ushauri. nilitaka nijenge vyumba vya biashara kwani eneo lipo kwenye makazi ambayo ndio mapya ila ujenzi wa makazi unaibuka kwa kazi sana kwani ni Dar.
 
Kiwanja kinatunza hela vizuri zaidi kama hela yako ni ndogo, sababu ni hii,ukishanunua utakuwa na uhakika kuwa kiwanja kipo kina hela yangu kiasi kadhaa na huku ikiongezeka kama umenunua sehemu salama. Siku ukipata plan sahihi na unahitaji hela, waweza kukiuza na kujazia pale kwenye kiasi ulicho nacho mkononi, na pengine kiwanja hicho chaweza zaa kiwanja kingine huko mbele.

Taabu za kuweka mtaji mdogo ktk ardhi ni kwamba itabidi uanze moja tena kudunduliza, inachukua muda. Kukaa na hela mkononi ni risk zaidi, kupeleka benki ndio unaimaliza kabisa. Kama uko vizuri ktk mazingira yako, bora uzungushe zaidi ili ikupe uwezo mkubwa wa kuizalisha.
Nashukuru kwa ashauri wako ndugu ntaufanyia kazi
 
Back
Top Bottom