Marwa Chacha
Senior Member
- Feb 5, 2015
- 102
- 51
Siasa ya Musoma mjini October 28 itakuwa ni uamuzi mkuu wa wana Musoma kumrudisha Mathayo au kumpa nafasi Kamanda Julius Gabriel Mwita.
Muonekano katika kampeni ya Mwita ya Juzi kata ya Rwamilimi na jana kata ya Kigera imeonesha mchuano mkali upo baina ya hawaa viongozi wawili..
Muonekano katika kampeni ya Mwita ya Juzi kata ya Rwamilimi na jana kata ya Kigera imeonesha mchuano mkali upo baina ya hawaa viongozi wawili..