Marwa Chacha
Senior Member
- Feb 5, 2015
- 102
- 51
Hivi Matayo bado ni mbunge Musoma mjini?Musoma mjini imebadilika kiongozi tangia awamu ya Mhe Vincent Nyerere 2010/2015 alileta mabadiliko makubwa.kwa sasa tunahitaji Mwita.
Musoma mji wa kiswahili sana, haukui, miaka na miaka uko vile vile.
Hivi Matayo bado ni mbunge Musoma mjini?
Musoma mji wa kiswahili sana, haukui, miaka na miaka uko vile vile.