Uanasheria; Taaluma inayoongoza kwa wasomi wanaoringa

Umepima vipi kwamba wanalinga? Una lako jambo si bure


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa muktadha huu tutakutana mahakamani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama utakuwa na akili timamu zaidi ya kitu kinachoitwa mabadiliko basi bila shaka utajiita mjuaji kumbe unapitwa Mambo yanabadilika kila siku tambua hilo kama na wewe mjuaji pole

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajitahidi kujieleza inaonekana uliwahi kuibia lecture ya sheria!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itabidi ujiue mkuu, maana hakuna namna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Word up,learned brother!Binadamu ni kuringa.Mtu kapooza kama embe bolibo changa kutoka Ntalikwa Tabora!Wachangamke hao mainjinia uchwara waache kuchezea magrisi kama wehu.
Hawa mainjinia uchwara wasioweza kusoma tape measure wakifukuzwa kazi wanakuja ofisini kulia lia! Engineer soma hiyo....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…