baada ya kukaa ng'ambo kwa mda mrefu nimerudi na kukuta zoezi la kuandikisha kupiga kura na leo ndio siku ya mwisho.
nimekwenda kituoni kwa nia ya kujiandikisha lakini watu ni wengi sana. mpaka saa 12 jioni watu zaidi ya 300 walikuwa wanasubiri kujiandikisha bila mafanikio yeyote.
nilipomuuliza muandikishaji akaniambia wanasubiri tamko la serikali lakini leo ndio mwisho
kituo changu kipo eneo la mbizi beach, je nifanyeje au nani naweza kumcontact ili nipate aki yangu ya msingi??
kwa nini ni week 1 moja tu kujiandikisha, je wanasia inakuwaje mnakubali hili? ng'ambo unaweza kujiandikisha kwa kutumia post,inperson au internet lakini bado hawatoi week 1. huku sio kuwanyima watu haki yao ya msingi
nimekwenda kituoni kwa nia ya kujiandikisha lakini watu ni wengi sana. mpaka saa 12 jioni watu zaidi ya 300 walikuwa wanasubiri kujiandikisha bila mafanikio yeyote.
nilipomuuliza muandikishaji akaniambia wanasubiri tamko la serikali lakini leo ndio mwisho
kituo changu kipo eneo la mbizi beach, je nifanyeje au nani naweza kumcontact ili nipate aki yangu ya msingi??
kwa nini ni week 1 moja tu kujiandikisha, je wanasia inakuwaje mnakubali hili? ng'ambo unaweza kujiandikisha kwa kutumia post,inperson au internet lakini bado hawatoi week 1. huku sio kuwanyima watu haki yao ya msingi