ntagunga
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 704
- 285
Wana bodi heshima kwenu.
Wakati nafuatilia mchakato wa uhamisho, nimekutana na somo tajwa hapo juu, hali iliyopelekea kuleta hoja hapa ukumbini ili tuwe na mjadala wa wazi mwisho wa siku tuwe na maono sawa juu ya mada tajwa. Sehemu ya kwanza, ya mwandishi kumwandikia mkuu naamini haina shida sana ila mkuu kumwandikia mtumishi na kupitia kwa watu kadhaa ndo kuna mtihani.
Ili kufanikisha hili, naomba nitoe swali, ambapo kwa kila atakayejibu, ninachoomba ili kutokuwa na mlolongo mwingi, tujikite kwenye format tuu(namna inavyoandikwa) bila kuaandika barua yenyewe. Majibu yetu yahusishe anuani pekee na kichwa cha barua tu.
SWALI.
1(a). Wewe ni mwalimu, upo halimshauri ya wilaya ya kongwa, andika barua ya kuomba kuhamia halimashauri ya Bahi. Kumbuka barua yako ipitie kwa Mkuu wako wa shule, Afisa elimu wako na mkurugenzi wako wa halimashauri ya wilaya ya Kongwa.
(b) Wewe ni mkurugenzi wa Halimashauri ya bahi, mjibu mwalimu huyo kuwa ombi lake limekubaliwa.
NB. Ili twende sawa, ntakuwa najibu baadhi ya wachangiaji kwa "reply with quote" lakini baada ya kuridhika na michango ya wadau wote, nitakuja na hitimisho la somo hili kwa ku edit original post ili hata kwa atakayekuwa hajafuatilia mjadala, basi akisoma apate elimu hii.
Karibuni wana jukwaa. Unaeza kujibu kwa kiswahili au kiingereza.
NB: Ikumbukwe kuwa, siombi kufundishwa namna ya kuandika barua hizo, kwa mchakato niliopitia kuna kitu nimekipata kilichotofauti kabisa na nilivyokuwa najua. Hivyo jibu swali tu mwisho wa siku tutafundishana jambo la msingi ambalo napenda litubadilishe katika uandishi wa barua.
Wakati nafuatilia mchakato wa uhamisho, nimekutana na somo tajwa hapo juu, hali iliyopelekea kuleta hoja hapa ukumbini ili tuwe na mjadala wa wazi mwisho wa siku tuwe na maono sawa juu ya mada tajwa. Sehemu ya kwanza, ya mwandishi kumwandikia mkuu naamini haina shida sana ila mkuu kumwandikia mtumishi na kupitia kwa watu kadhaa ndo kuna mtihani.
Ili kufanikisha hili, naomba nitoe swali, ambapo kwa kila atakayejibu, ninachoomba ili kutokuwa na mlolongo mwingi, tujikite kwenye format tuu(namna inavyoandikwa) bila kuaandika barua yenyewe. Majibu yetu yahusishe anuani pekee na kichwa cha barua tu.
SWALI.
1(a). Wewe ni mwalimu, upo halimshauri ya wilaya ya kongwa, andika barua ya kuomba kuhamia halimashauri ya Bahi. Kumbuka barua yako ipitie kwa Mkuu wako wa shule, Afisa elimu wako na mkurugenzi wako wa halimashauri ya wilaya ya Kongwa.
(b) Wewe ni mkurugenzi wa Halimashauri ya bahi, mjibu mwalimu huyo kuwa ombi lake limekubaliwa.
NB. Ili twende sawa, ntakuwa najibu baadhi ya wachangiaji kwa "reply with quote" lakini baada ya kuridhika na michango ya wadau wote, nitakuja na hitimisho la somo hili kwa ku edit original post ili hata kwa atakayekuwa hajafuatilia mjadala, basi akisoma apate elimu hii.
Karibuni wana jukwaa. Unaeza kujibu kwa kiswahili au kiingereza.
NB: Ikumbukwe kuwa, siombi kufundishwa namna ya kuandika barua hizo, kwa mchakato niliopitia kuna kitu nimekipata kilichotofauti kabisa na nilivyokuwa najua. Hivyo jibu swali tu mwisho wa siku tutafundishana jambo la msingi ambalo napenda litubadilishe katika uandishi wa barua.