Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Picha hii na maelezo yake nimevitoa kwenye Blogu ya Michuzi
Jambo ninaloongelea hapo ni jinsi gani uandishi wetu katika kiingereza ulivyokwenda mrama kwa sababu ya kutaka kumjenga rais wetu.
Ni kupindisha lugha ya Kiingereza kumtaja mtu kwa kutumia titles zaidi ya moja. Kwa mfano huwezi kusema General Dr. David Patreas, au Secretary Dr. Condoleeza Rice, au Secretary Professor Condoleeza Rice President Professor Dr. Obama. Kwa kawaida utawaadress watu wa aina hiyo kwa kutumia title moja tu ambayo ni more relevant katika madaraka yake, kwa mfano General David Patreas, Secretary Condoleeza Rice, President Obama. Hata hivyo unaweza kuwaadress kwa titles hizo nyingine iwapo utazitenganisha na titles za madaraka yao ila ukataja madaraka yake, kwa mfano: the army general, Dr David Patreas, au the US Secretary of State Dr. Condoleeza Rice au the US president, Dr Obama.
Sasa ukiangalia maelezo ya kwenye picha hapo juu utaona mapungufu hayo ya kiuandishi hasa pale inapokuwa inamhusu Kikwete, na hili ni jambo linajitokeza sana katika waandishi wa Tanzania.
Katika kumtaja Kikwete, waandishi wetu hutumia titles mbili: President Dr. Kikwete!!. Hilo ni kosa!! Kama ni lazima title ya Dr iwepo basi itenganishwe na title ya President; andika the Tanzanian president, Dr. Kikwete. Ni kama ilivyoaninishwa kwenye kumtaja the UN Deputy Secretary General, Dr. Asha-Rose Migiro. Kiuandishi amekuja tena kuboronga kwa kumtaja huyo rais wa Ivory Coast alipotaja the new Ivorian President Allasane Ouattara. Kwa vile alishaona umuhimu wa kuwataja wahusika kwa academic titles badala ya political titles, basi ni lazima angesema the new Ivorian president Dr. Allasane Ouattara, kwa vile jamaa ana Ph.D ya kikweli katika economics, siyo udaktari wa kupandikizwa wa Kikwete. Hilo ni swala la consistency!
Kikawaida kwa vile marais ni wanasiasa, hawatakiwi kutumia titles za kiacademia, kwa hiyo ilitakiwa iwe ni straight forward kuwa Tanzanian president, Mr. Kikwete na Ivorian president Mr. Allasane Ouattara, kama ambavyo marekani wa wanasema the US President, Mr Obama
Jambo ninaloongelea hapo ni jinsi gani uandishi wetu katika kiingereza ulivyokwenda mrama kwa sababu ya kutaka kumjenga rais wetu.
Ni kupindisha lugha ya Kiingereza kumtaja mtu kwa kutumia titles zaidi ya moja. Kwa mfano huwezi kusema General Dr. David Patreas, au Secretary Dr. Condoleeza Rice, au Secretary Professor Condoleeza Rice President Professor Dr. Obama. Kwa kawaida utawaadress watu wa aina hiyo kwa kutumia title moja tu ambayo ni more relevant katika madaraka yake, kwa mfano General David Patreas, Secretary Condoleeza Rice, President Obama. Hata hivyo unaweza kuwaadress kwa titles hizo nyingine iwapo utazitenganisha na titles za madaraka yao ila ukataja madaraka yake, kwa mfano: the army general, Dr David Patreas, au the US Secretary of State Dr. Condoleeza Rice au the US president, Dr Obama.
Sasa ukiangalia maelezo ya kwenye picha hapo juu utaona mapungufu hayo ya kiuandishi hasa pale inapokuwa inamhusu Kikwete, na hili ni jambo linajitokeza sana katika waandishi wa Tanzania.
Katika kumtaja Kikwete, waandishi wetu hutumia titles mbili: President Dr. Kikwete!!. Hilo ni kosa!! Kama ni lazima title ya Dr iwepo basi itenganishwe na title ya President; andika the Tanzanian president, Dr. Kikwete. Ni kama ilivyoaninishwa kwenye kumtaja the UN Deputy Secretary General, Dr. Asha-Rose Migiro. Kiuandishi amekuja tena kuboronga kwa kumtaja huyo rais wa Ivory Coast alipotaja the new Ivorian President Allasane Ouattara. Kwa vile alishaona umuhimu wa kuwataja wahusika kwa academic titles badala ya political titles, basi ni lazima angesema the new Ivorian president Dr. Allasane Ouattara, kwa vile jamaa ana Ph.D ya kikweli katika economics, siyo udaktari wa kupandikizwa wa Kikwete. Hilo ni swala la consistency!
Kikawaida kwa vile marais ni wanasiasa, hawatakiwi kutumia titles za kiacademia, kwa hiyo ilitakiwa iwe ni straight forward kuwa Tanzanian president, Mr. Kikwete na Ivorian president Mr. Allasane Ouattara, kama ambavyo marekani wa wanasema the US President, Mr Obama