uanzishaji wa kampuni

majiyashingo

Member
Joined
Feb 2, 2011
Posts
44
Reaction score
2
Jamani mimi naishi kwenye Flat na nilikuwa na mpango wa kusajiri kampuni ila kwa kipindi kama cha miezi sita nilitaka kutumia adress ya nyumbani kwani ambayo ni flat je sheria inasemaje kuhusu hilo?inawezekana kuwa na kampuni wakati legal adress ni nyumba ya kuishi?natanguliza shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…