Uanzishaji wa kituo cha Radio

Uanzishaji wa kituo cha Radio

Mtalebani Mweupe

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2020
Posts
547
Reaction score
632
Habari Wakuu,
Ninaomba msaada kwa wenye uelewa kwenye Masuala ya Ufunguzi wa kituo cha Radio.

Nina ndoto ya siku nyingi ya kuweza kumiliki kituo cha Radio ila kwa sasa ninataka nijipange ili itapofika Mwishoni mwa mwaka 2022 kama mungu akinijaalia uhai niwe nishafungua hii Radio Station.

Kiuhalisia hii ni ndoto yangu na ninataka kuitimiza, ila kiukweli kabisa sijui pakuanzia (NI MWEUPE) Kuhusu suala la kuanzisha na day to day Operation.


Hivyo nilitaka ufumbuzi juu ya masuala haya hapa chini!
1.Kwa sasa nilitaka kujua vifaa gani vinahitajika kwa kuanzia kwenye operation nzima ya Radio.

2.Gharama Minimum niwe na kiasi Gani?

3.Process zikoje kwa upande wa Serikali kwenye kutoa vibali nk.

4.kama kuna kampuni inayodeal na Installation ya mambo ya Radio pia ntaomba nisaidiwe.

5.Kuhusu wafanyakazi ukiwatoa watangazaji ni fani gani ambayo wanalazimika kuwepo kwenye Operation ya kila siku.

Kama kutakuwa na mengine ya ziada nitaomba muongezee kwa wenye uelewa wenu,

Shukrani.

Chief-Mkwawa Njunwa Wamavoko snipa Mwl.RCT Nyasiro kadoda11
 
Ukifanikiwa kufungua usinisahau kwenye u DJ tuipromote Radio yetu ki burudani [emoji41]

Mkuu pitia uzi huu jamaa Radio Producer kachanganua vizuri, kuna thread nyingine nakutafutia niliwahi kuisoma nayo imejaa madini, Ni mada inashabiana na yako kabisa..


 
Kuna uzi upo jukwaa la biashara kama sikosei, unaeleza kwa kina, humo kuna madini konki

Nikiuona nitakupa link yake.
 
Kuna uzi upo jukwaa la biashara kama sikosei, unaeleza kwa kina, humo kuna madini konki

Nikiuona nitakupa link yake.
Ukifanikiwa kufungua usinisahau kwenye u DJ tuipromote Radio yetu ki burudani [emoji41]

Mkuu pitia uzi huu jamaa Radio Producer kachanganua vizuri, kuna thread nyingine nakutafutia niliwahi kuisoma nayo imejaa madini, Ni mada inashabiana na yako kabisa..


Sawa wakuu nashkuru sana, Ngoja niupitie uzi huu kwanza mkibahatika kuupata huo mwengine msisahau kutupia link, na mimi ntaenda kuu search nikiupata nitaweka link hapa kwa msaada wa wengine.
 
Habari Wakuu,
Ninaomba msaada kwa wenye uelewa kwenye Masuala ya Ufunguzi wa kituo cha Radio.

Nina ndoto ya siku nyingi ya kuweza kumiliki kituo cha Radio ila kwa sasa ninataka nijipange ili itapofika Mwishoni mwa mwaka 2022 kama mungu akinijaalia uhai niwe nishafungua hii Radio Station.

Kiuhalisia hii ni ndoto yangu na ninataka kuitimiza, ila kiukweli kabisa sijui pakuanzia (NI MWEUPE) Kuhusu suala la kuanzisha na day to day Operation.


Hivyo nilitaka ufumbuzi juu ya masuala haya hapa chini!
1.Kwa sasa nilitaka kujua vifaa gani vinahitajika kwa kuanzia kwenye operation nzima ya Radio.

2.Gharama Minimum niwe na kiasi Gani?

3.Process zikoje kwa upande wa Serikali kwenye kutoa vibali nk.

4.kama kuna kampuni inayodeal na Installation ya mambo ya Radio pia ntaomba nisaidiwe.

5.Kuhusu wafanyakazi ukiwatoa watangazaji ni fani gani ambayo wanalazimika kuwepo kwenye Operation ya kila siku.

Kama kutakuwa na mengine ya ziada nitaomba muongezee kwa wenye uelewa wenu,

Shukrani.

Chief-Mkwawa Njunwa Wamavoko snipa Mwl.RCT Nyasiro kadoda11
Kama bado haujafanikiwa kupata ufafanuzi...unaweza kusoma hizi thread au ukawasiliana na huyu mkuu.
Je, Unataka kuanzisha kituo cha radio?

Fursa: Gharama Halisi za Kuanzisha Radio ya Jamii (Community Radio)

Radio Station: Bei ya vifaa vya kurushia matangazo (Transmission)

Anzisha Radio kwa Tshs 10,000,000/= usikivu ni KM 45.

Kila la Heri.
 
Habari Wakuu,
Ninaomba msaada kwa wenye uelewa kwenye Masuala ya Ufunguzi wa kituo cha Radio.

Nina ndoto ya siku nyingi ya kuweza kumiliki kituo cha Radio ila kwa sasa ninataka nijipange ili itapofika Mwishoni mwa mwaka 2022 kama mungu akinijaalia uhai niwe nishafungua hii Radio Station.

Kiuhalisia hii ni ndoto yangu na ninataka kuitimiza, ila kiukweli kabisa sijui pakuanzia (NI MWEUPE) Kuhusu suala la kuanzisha na day to day Operation.


Hivyo nilitaka ufumbuzi juu ya masuala haya hapa chini!
1.Kwa sasa nilitaka kujua vifaa gani vinahitajika kwa kuanzia kwenye operation nzima ya Radio.

2.Gharama Minimum niwe na kiasi Gani?

3.Process zikoje kwa upande wa Serikali kwenye kutoa vibali nk.

4.kama kuna kampuni inayodeal na Installation ya mambo ya Radio pia ntaomba nisaidiwe.

5.Kuhusu wafanyakazi ukiwatoa watangazaji ni fani gani ambayo wanalazimika kuwepo kwenye Operation ya kila siku.

Kama kutakuwa na mengine ya ziada nitaomba muongezee kwa wenye uelewa wenu,

Shukrani.

Chief-Mkwawa Njunwa Wamavoko snipa Mwl.RCT Nyasiro kadoda11
We we ni konde boy? Unaanzisha Konde Fm?
 
Kibiashara umejipangaje?, 'Bidhaa' gan utakua unauza? mana kwa jicho la nje sisi wasikilizaj tunaona kuna competition kubwa sana kwny soko la fm radio kwa sasa...
 
Back
Top Bottom