Uanzishwaji wa Benki ya walimu,,,

Spellan

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2011
Posts
307
Reaction score
15
Wadau! je, benki hiyo itasaidia walimu kutatua matatizo yao?
 
wapeleke ujinga wao huko kwa familia zao,kwanza hatuja ona tija yoyote juu ya utatuzi wa matatizo juu matatiza ya walim,walim wana madai chungu mzima wapuuzi hawa wakafanye biashara yao huko.nahasira nao hawa .
 
Mchawi wa mwalimu huwa ni mwalimu mwenyewe, inaweza kuwasaidia endapo haitaongozwa na waalimu namaanisha kwenye management wasiweke mwalimu hata mmoja!!
 
Mchawi wa mwalimu huwa ni mwalimu mwenyewe, inaweza kuwasaidia endapo haitaongozwa na waalimu namaanisha kwenye management wasiweke mwalimu hata mmoja!!

Inaanzishwa na CWT jengo la Mwalimu house ilala.
 
Sitegemei kama mwl atafaidika na hiyo Benk,
Ni biashara nzuri, italipa sana. Je NMB itakuwa ktk hali gani baada ya waalimu kuhamia ktk benki yao?.
 
Sitegemei kama mwl atafaidika na hiyo Benk,
Ni biashara nzuri, italipa sana. Je NMB itakuwa ktk hali gani baada ya waalimu kuhamia ktk benki yao?.

Mishahara ya walimu itaingia kupitia bank hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…