shirikisho la wasio na ajira kwa ajili ya kuleta pamoja rasilimali za wasio na ajira kwa ajili ya maendeleo ya shirikisho,TFU(Tanzania Federation of Unemployed),nakarisha mawazo kwa ajili ya huu mchakato.....
kujenga forum ya kutatua changamoto zetu.mi na tukiwa na umoja tukakusanya mitaji yetu kwa ajili ya maendeleo yetu.mawzo mengine yanakaribishwa ktk forum hii