kiboko bin mkwaju Member Joined Sep 25, 2012 Posts 8 Reaction score 0 Sep 28, 2012 #1 Ni ndoto yangu kujenga shule maishani mwangu,wadau na wataalamu mbali mbali wenye ufahamu juu ya uanzishwaji wa shule naomba mnijuze nini kina hitajika il kuanzisha au kujenga shule. Ni kiasi gani cha pesa niwe nacho ili kuanzisha shule.
Ni ndoto yangu kujenga shule maishani mwangu,wadau na wataalamu mbali mbali wenye ufahamu juu ya uanzishwaji wa shule naomba mnijuze nini kina hitajika il kuanzisha au kujenga shule. Ni kiasi gani cha pesa niwe nacho ili kuanzisha shule.
TILALILA Member Joined Sep 24, 2012 Posts 32 Reaction score 5 Sep 28, 2012 #2 We jamaa mbona huwi muwazi,shule zipo za aina nyingi, kindergaten primary au secondary,unalenga watu wa aina gani,kipato cha juu kati au juu
We jamaa mbona huwi muwazi,shule zipo za aina nyingi, kindergaten primary au secondary,unalenga watu wa aina gani,kipato cha juu kati au juu