Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Huyo Mama ni mduwanzi Sana. Nakumbuka alikuja bariadi alitutukana Sana watumishi sector ya afya. Ila poa ache liende na litafika kunako.Spika wa Bunge ataendesha Shughuli hiyo kwa mujibu wa Kanuni za Bunge
Aliwatukana au aliwambia ukweli make watumishi wa afya huko wilayani ni miungu watu. Huwa naenda sengerema kule naona wanavyohudumia ukiuliza unaambiwa tuko wachache. Unaweza ukaenda asubuhi kupima malaria ukatoka saa tisa.Huyo Mama ni mduwanzi Sana. Nakumbuka alikuja bariadi alitutukana Sana watumishi sector ya afya. Ila poa ache liende na litafika kunako.
Na sasa ndio mtanyooka amepewa full mandate ya kuwanyoosha.Huyo Mama ni mduwanzi Sana. Nakumbuka alikuja bariadi alitutukana Sana watumishi sector ya afya. Ila poa ache liende na litafika kunako.
Mtakuwa mlifanya madudu sana ndo maana aliwatukana ķwa ghadhabuHuyo Mama ni mduwanzi Sana. Nakumbuka alikuja bariadi alitutukana Sana watumishi sector ya afya. Ila poa ache liende na litafika kunako.
Leo wataapishiwa getiniSpika wa Bunge Mhesh Job Ndugai ataendesha shughuli hiyo kwa mujibu wa Kanuni za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Watakaoapishwa ni Dkt Dorothy Gwajima na Mhandisi Leonard Chamuriho.
Ngosha mwenzako anaapishwaAsante, hii ni taarifa muhimu, na ni hatua muhimu kabla ya kuapishwa kwa Baraza la Mawaziri ambalo litaapishwa kesho, Ikulu, Chamwino.
P
Aliwatukana au aliwambia ukweli make watumishi wa afya huko wilayani ni miungu watu. Huwa naenda sengerema kule naona wanavyohudumia ukiuliza unaambiwa tuko wachache. Unaweza ukaenda asubuhi kupima malaria ukatoka saa tisa.