Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ninawasiwasi na wewe utakua ni miongoni mwa walioforward ujumbe wa zawadi ya 87500 kutoka Vodacom leo 😀
Hapana nimeuliza kwasababu nakumbuka alisema akishinda atafanya siku ya kuapishwa iwe public holiday, nataka tu kuconfirm kuna jambo ninataka kutekeleza.Ninawasiwasi na wewe utakua ni miongoni mwa walioforward ujumbe wa zawadi ya 87500 kutoka Vodacom leo 😀
Apumzke na mama ake, sisi kapuku hatuwah pumzika .JUA na MVUA nyetu.....nawaombea mvua ya mawe inyeshe,radi ipige, mvua ya upepo isikome hadi VVIP wanyeshewe,wingu litande liwe zito na lenye Giza kuu lenye kutia amani kote,hofu iwaingie wanajeshi wa maonyesho washndwe Fanya lolote,mwsho ihairishwe huuu ushindi feki...F$KKesho ni tarehe 5, na ni siku ya kuapishwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hivi itakuwa ni siku ya mapumziko Kitaifa (Public Holiday) au shughuli zinaendelea kama kawaida?
Ninahitaji kujua kwa anayefahamu tafadhali.
Nipo hapa royal village club 7 njooYes,
Kesho tumeona iwe mapumziko. Karibuni sana Dodoma, though hotel nyingi zimejaa.
Mimi nipo juu ya huu mlima mkubwa wenye mawe nawaangalia tu hapo.Nipo hapa royal village club 7 njoo
Hana mamlaka yoyote mpaka aapishweHapana nimeuliza kwasababu nakumbuka alisema akishinda atafanya siku ya kuapishwa iwe public holiday, nataka tu kuconfirm kuna jambo ninataka kutekeleza.
Halafu mimi ni kati ya wale watu ambao uwa sinaga shobo za umeshinda sijui nini. Sinaga shobo na zawadi za pesa ambazo najua sijashiriki kwenye mchezo wowote.
Anaapishwa na kuanza kazi kwa Kishindo, Subiria aape uone Kazi phase IIKesho ni tarehe 5, na ni siku ya kuapishwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hivi itakuwa ni siku ya mapumziko Kitaifa (Public Holiday) au shughuli zinaendelea kama kawaida?
Ninahitaji kujua kwa anayefahamu tafadhali.