Uarabuni maisha safi

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Ukifika Saudia, Kuwait, Qatar, Oman l, Bahrain na UAE (Dubai, Sharjah ama Abu Dhabi) utakubali kuwa zile nchi zimebarikiwa. Mfanya usafi Msikitini analipwa yapata 5m TZS Kwa mwezi (na hakuna Kodi).

Your browser is not able to display this video.
 
Watu wanaleta utani lakini nenda google angalia pesa ya oman uone ilivyo juu ya dola ya marekani...na wale wa kiafrica mabinti wengi wanalipwa zaidi ya laki 7 mpaka milioni na kuendelea.. baadhi yao wakirudi huku wanajenga.
 
Wadada kibao wapo huko saudi arabia kama ma house girl wanalalamika tu waarabu hawana utu kwa mtu mweusi
Sema wewe af bado anataka kuchukua watoto wa watu huyu itakuwa ametumwankuchukua watu akawauze huko
 
Mleta mada hao wendawazimu si ndiyo waliwalisha dada zako mavi madai kwao ni starehe?

Hawajitambui kosa kuwa na mafuta wangekuwa na njaa zaidi ya bongo kwa sababu hawazishughulishi akili zao kwa mambo ya maana!
 
Vijana arabuni ndo pa kwenda. Achaneni na kubet huko Buguruni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…