Mimi nimefanya Qatar kutawadha ngamia mshahara million 45 kwa mwezi bila kodi.Nimekaa Saudia Kama miaka 6, mishe nilizokuwa napiga huko Ni kuwasha vipaza sauti vya adhana, nilikuwa nalipwa mil 27 ukitoa Kodi laki 3 nabakiza mil 26.7
Unafanya dhihaka kwa faida gani?Mimi nimefanya Qatar kutawadha ngamia
Kwasababu mleta mada kaleta uzi kwa dhihaka ndo maana tunachangia kwa dhihaka.Unafanya dhihaka kwa faida gani?
Dhihaka (Satire) ni njia bora sana ya kufikisha ujumbe.Unafanya dhihaka kwa faida gani?
Acha utani basi mkuu hii sio kamba kweli?[emoji3][emoji2][emoji2][emoji2]Nimekaa Saudia Kama miaka 6, mishe nilizokuwa napiga huko Ni kuwasha vipaza sauti vya adhana, nilikuwa nalipwa mil 27 ukitoa Kodi laki 3 nabakiza mil 26.7
Sema wewe af bado anataka kuchukua watoto wa watu huyu itakuwa ametumwankuchukua watu akawauze hukoWadada kibao wapo huko saudi arabia kama ma house girl wanalalamika tu waarabu hawana utu kwa mtu mweusi
Mimi nilikuwa natembea tu nilikuwa nalipwa mil 150 kwa mwezi bila kodi 🍻Mimi nimefanya Qatar kutawadha ngamia mshahara million 45 kwa mwezi bila kodi.
Nitajie bilionea mweusi Bongo aliyewahi ishi Uarabuni. Si mnasema kuna hela bwerere ukoWatu wanaleta utani lakini nenda google angalia pesa ya oman uone ilivyo juu ya dola ya marekani...na wale wa kiafrica mabinti wengi wanalipwa zaidi ya laki 7 mpaka milioni na kuendelea.. baadhi yao wakirudi huku wanajenga.
We jamaa muongo sanaNimekaa Saudia Kama miaka 6, mishe nilizokuwa napiga huko Ni kuwasha vipaza sauti vya adhana, nilikuwa nalipwa mil 27 ukitoa Kodi laki 3 nabakiza mil 26.7