Uasi mkubwa unakuja CCM

Wakigombana na kuvurugana ndio furaha yetu, ili CCM itoke hapo ilipo na kuparaganyika, ni CCM wenyewe washindwe kuongea lugha moja...yaani CCM wawe kama wale jamaa waliokuwa wanajenga mnara wa babeli. Otherwise hawa mafisi wapumbavu wataitafuna hii nchi hadi vizazi vyetu vipite.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…