Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwanini kila serikali za wanavyuo zinapochaguliwa na wanachuo wenyewe kwa nini utawala hupenda kuingilia kati maamuzi ya wanachuo kuleta uvunjifu wa amani vyuoni..Mfano UDSM, LUKO, TEKU...Kulikoni?
unamaanisha nini hapo kwenye red???Sasa huu ni ubabe! Au ujinga na ufinyu wa utawala wenye akili mgando! For udom mlacha ni panya kama walivyo panya wengine! Ndo mana wakati wetu tulimtia vdole huyo mzee!
unamaanisha nini hapo kwenye red???
mtoa mada umesahau kutaja UDOM chuo ambacho kinaongozwa na vilaza, akina mlacha, makangara ambao wamefanya chuo kama chakifamilia, wamefukuza wanafunzi ambao walikuwa wanadai haki yao ya kupata mafunzo kwa vitendo toka july mwaka jana mpaka sasa wapo kitaa. inasikitisaha sana
...ila kwenye red ni wakati na sio waakati!kama ulivyoelewa mara yakwanza tu wakaati unasoma iyo kitu!
...ila kwenye red ni wakati na sio waakati!