Elections 2010 Ubabe wa Makamba... ashinikiza mwanae awe mbunge....

"Jee unajuaaliyemshauri nyerere makamba apewe nafasi kwenye chama ni marehemu mzee kawawa baada ya kumuona akiwa anacheza sana ngoma kwenye sherehe....."

Nhuh!, kaaaaaaaaaazi kwelikweli
 
Huyu sie yule mtoto wake aliyefukuzwa kazi ya Uhakimu kule mahakama ya mkoa sababu ya ulevi? If so anawezeje kuwa mfano mwema kwa jamii atakayoiongoza?

++ Plus kubwa ya kumtongoza mke wa JAJI ambaye ni mtumishi mwenzake mahakamani hapo akaharibu kabisa maana uzalendo wa kiungwana ukashindikana kila kona maana ushahidi ulikuwa dhahiri Bimkubwa akilalamimikia embarassment za kijana mwenzetu.
 
Jamani cha kuweza kuangalia ni kwamba huyu January Makamba ana uwezo wa kuongoza? kama anao mpeni kama hana kwa kweli msimpe na huu sasa unakuwa mchezo mchafu kabisaaa. Mimi nilianza kumsikia huyu mtoto wakati wa sakata la Malaria na sugu. Kwa hio mwenye wasifu wake atupe kama kazi anaweza.
 

Acha udaku bwana......Nilichokiona hapa ni kitu kimoja,kwamba kuna uwezekano mkubwa January Makamba akashinda ubunge wa Bumbuli...kwamba January ni tishio sana kwa Shelukindo,sasa ili kumpungua spidi baadhi ya watu ukiwemo wewe(Mtazamo wangu....hii si thread yako ya kwanza kuhusiana na JM na ubunge wa Bumbuli) mmeanzisha kampeni ya kumchafua January na babaake kisa tu ni katibu mkuu wa CCM(T)...Cmon,hizi ni dalili za uoga bana....shindaneni kwa hoja badala ya kuanza kuchafuana kusiko na mpango wala tija....Si vibaya Shelukindo akashindwa na kupumzika....Hizi ni dalili za mfa maji....kamwe haishi kutapatapa...Halafu...iweje unaanza kumshambulia mzee Makamba kisa tu mwanawe ana nafasi kubwa ya kushinda Bumbuli???...acha hizo mazee.....Pambaneni kwa hoja badala ya viroja
 
haya tumesikia, naona hapo kuna mawazo mgonganoooo, hawa wazee wa ccm hawajui maadili ya uongozi, keshoo anampendekeza mkewe awe mbunge pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…